Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Acha kabisa aise barabara mbaya sijapata kuona! Nilikuwaga nasikia tu kuwa Nyang'oro kuna kona mbaya kuliko hata Kitonga nikawa nabisha maana mimi nilikuwa naamini Kitonga ndiyo kuna kona mbaya ila jana ndiyo nikajionea mwenyewe!

Kweli kwa Nyang'oro Kitonga inasubiri aise! Maana Nyang'oro kuna kona mbaya halafu barabara zake nyembamba kuna sehemu mnapita hadi unajiuliza hivi hapa magari mawili yanapishana kweli hapa bora hata Kitonga kona zake zina space kidogo!

Halafu Kitonga huwa panachukua takriban dakika 10 kupamaliza ila Nyang'oro ni karibu dakika 20 hivi! Ila zaidi ya yote nimependa ile view ya Mtera Dam inavyoonekana kwa chini!
Hujapiga hata picha hiyo view ya mtera,si unajua ukifatilia huu uzi na unajiona kama upo safarini vile..
 
Hii test yake nzuri mchana, usiku nitaiua gari ipo chini sana na sipendagi modification ya kunyanyua gari . Na mchana itabidi kujipanga sana kukabilina na trafic. Ila nilitest NZEGA to TBR kuna 127 km, nimetumia dk 30 .. kipande kizuri sana kilehakina tuta wala nini
Imetosha mkuu bado unahitajika na jamii inayokuzunguka na JF pia.
 
Hii test yake nzuri mchana, usiku nitaiua gari ipo chini sana na sipendagi modification ya kunyanyua gari . Na mchana itabidi kujipanga sana kukabilina na trafic. Ila nilitest NZEGA to TBR kuna 127 km, nimetumia dk 30 .. kipande kizuri sana kilehakina tuta wala nini
Aisee hongera, lakini una hatari mkuu. Maana hii ni average ya zaidi ya 150km kwa saa
 
Mkuu RRONDO , najua you are well packaged with sufficient knowledge kuhusu chuma za mjerumani.

Hivi, kati ya VW golf GTi na VW Polo GTi... ipi ina unafuu kwenye maintenance costs?

Kwenye performance, ipi ni ya kibabe kwenye kuufukuza upepo?

Polo na Golf.. ni jamii ya baby-walker? minimum engine cc ni ngapi?

-Kaveli-
 
Mkuu RRONDO , najua you are well packaged with sufficient knowledge kuhusu chuma za mjerumani.

Hivi, kati ya VW golf GTi na VW Polo GTi... ipi ina unafuu kwenye maintenance costs?

Kwenye performance, ipi ni ya kibabe kwenye kuufukuza upepo?

Polo na Golf.. ni jamii ya baby-walker? minimum engine cc ni ngapi?

-Kaveli-
Polo ni Ka baby walker. Golf GTi ndio chuma kilichoumbwa kutulia.
Golf GTi inakuwa 2000cc turbo charged ambayo mwendo uko limited to 250kph stock, ukii tune unaweza kufuta kisahani 300kph.
Hapo mwamba ni Golf GTi maintanance hazitofautiani sana.
 
Back
Top Bottom