Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polo ni Ka baby walker. Golf GTi ndio chuma kilichoumbwa kutulia.
Golf GTi inakuwa 2000cc turbo charged ambayo mwendo uko limited to 250kph stock, ukii tune unaweza kufuta kisahani 300kph.
Hapo mwamba ni Golf GTi maintanance hazitofautiani sana.
Bongo mkuu bado tuko nyuma. Ila kuna jamaa Mkenya huwa anakuja kuwafanyia watu hapa.
Duuh kwahiyo ni Mungu tu ndiyo aliniepushia aiseeSiku ukipiga utabaki hapohapo[emoji1751].
Pitia the matrix lounge pale mkuu a.k.a Gamalo ukapumzike. Security wa pale wako vizuri sana kuangalia magari. Kisha mchana ukapige mdudu pale Ipuli.Tabora moja hiyo [emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1813237
You rule the road mkuu.
Dah nakikumbukia kile kipande nasema ihiii...nHii test yake nzuri mchana, usiku nitaiua gari ipo chini sana na sipendagi modification ya kunyanyua gari . Na mchana itabidi kujipanga sana kukabilina na trafic. Ila nilitest NZEGA to TBR kuna 127 km, nimetumia dk 30 .. kipande kizuri sana kilehakina tuta wala nini
Hii hapana sina experience nayo mkuu wangu! Nasikia ina mwaga moto hatariHoly Man , una experience yoyote ya VW Golf GTI kwenye on-road long trip?
If yes, share experience yako kuhusu hiyo chuma.
-Kaveli-
Ndipo ambapo ridhiki yetu ipo mkuu lazima tuchape mwendo tu😀😀You rule the road mkuu.
Ipuli kule nimekula sana mdudu wa kule asee 😀😀Pitia the matrix lounge pale mkuu a.k.a Gamalo ukapumzike. Security wa pale wako vizuri sana kuangalia magari. Kisha mchana ukapige mdudu pale Ipuli.
Kipande kitamu sana kile hakina Trafic no bams, na pia cha tbr to dodoma via manyoni patamu sana, shida kona nyingiDah nakikumbukia kile kipande nasema ihiii...n
Kesho mapema asubuhi naanza safari mkuu.... by next week nitakuwa nimetembea 1500km. Mbeya - Dom - Arusha - DarNdipo ambapo ridhiki yetu ipo mkuu lazima tuchape mwendo tu[emoji3][emoji3]
Pitia the matrix lounge pale mkuu a.k.a Gamalo ukapumzike. Security wa pale wako vizuri sana kuangalia magari. Kisha mchana ukapige mdudu pale Ipuli.
Mie kesho ilibidi nirudi dodoma ila naona umegoma... chapa mwendo mkuu wangu. MUNGU akutangulieKesho mapema asubuhi naanza safari mkuu.... by next week nitakuwa nimetembea 1500km. Mbeya - Dom - Arusha - Dar
Hii hapana sina experience nayo mkuu wangu! Nasikia ina mwaga moto hatari
Wengi wana salute kwa hiyo gari, itakuwa na maajabu makubwaYep, ni katoto lakini hadi mababu wanakaamkia 'shikamoo' kubwa.
-Kaveli-
Dodoma to Tabora via Manyoni na Itigi sio? Aisee bonge la mkeka kona kitu gani tuko na sedans mkuu?Kipande kitamu sana kile hakina Trafic no bams, na pia cha tbr to dodoma via manyoni patamu sana, shida kona nyingi
Pamekaa kilocal pale ila wanapush mdudu vibaya mno aisee.. pale oppostite na st anna mission hospital ndio chimbo languIpuli kule nimekula sana mdudu wa kule asee [emoji3][emoji3]