Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kunywa ni tamu zile [emoji4][emoji4]
Zinaondoa mawazo zile
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo wewe mwenyewe hujawahi kunywa .
Ukute zinapunguza mawazo ila mimi na wewe hatuelewi kwa sababu wote hatujawahi kunywa[emoji23][emoji23][emoji23].

Cha kufanya kesho ukuje na St Anna tujaribu tuone inakuwaje,
Ikipunguza mawazo naendelea kunywa,isipopunguza nafwata ushauri wako.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo wewe mwenyewe hujawahi kunywa .
Ukute zinapunguza mawazo ila mimi na wewe hatuelewi kwa sababu wote hatujawahi kunywa[emoji23][emoji23][emoji23].

Cha kufanya kesho ukuje na St Anna tujaribu tuone inakuwaje,
Ikipunguza mawazo naendelea kunywa,isipopunguza nafwata ushauri wako.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
😟😟😟.. hapana mie kutokunywa sio sababu ya kuwa haiondoi mawazo.. mie sijawai tu kuinywa, hapa duniani sio lazima kila kitu ufanye mkuu.. mengine unawaachia na wengine ..
 
Jaribio jema. Remember to drink responsibly.... Sant Anna haina ukakasi ni tamu balaa [emoji3059]

Nywele unatumia movit ya nywele fupi, au easy wave ila ile inakata nywele dawa ikiwa inaishia. Ukishaweka dawa ndio unanyoa pembeni kama itakupendeza then unatumia twists sponge kuziviriga.
Hizo twist sponge ndio zinapatikana wapi??
Ipoje?
Nataka na Mimi nijaribu ila sitaki kunyoa pembeni..


Asante,nitajaribu hiyo St Anna.
Ikikubali,nitajaribu na hizo nyingine.
 
Jaribio jema. Remember to drink responsibly.... Sant Anna haina ukakasi ni tamu balaa 🥰

Nywele unatumia movit ya nywele fupi, au easy wave ila ile inakata nywele dawa ikiwa inaishia. Ukishaweka dawa ndio unanyoa pembeni kama itakupendeza then unatumia twists sponge kuziviriga.
Nagawa Amarula na bacchanal mkuu unakunywa ?
 
Hizo twist sponge ndio zinapatikana wapi??
Ipoje?
Nataka na Mimi nijaribu ila sitaki kunyoa pembeni..


Asante,nitajaribu hiyo St Anna.
Ikikubali,nitajaribu na hizo nyingine.
Maduka ya cosmetics unazipata. Ipo hivi
images (3).jpeg
 
Back
Top Bottom