Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kunywa ni tamu zile [emoji4][emoji4]
Zinaondoa mawazo zile
Tatizo wewe mwenyewe hujawahi kunywa .
Ukute zinapunguza mawazo ila mimi na wewe hatuelewi kwa sababu wote hatujawahi kunywa[emoji23][emoji23][emoji23].
Cha kufanya kesho ukuje na St Anna tujaribu tuone inakuwaje,
Ikipunguza mawazo naendelea kunywa,isipopunguza nafwata ushauri wako.