Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutafute pesa.Hahahahah ile mashine acha tu, humphrey polepole wakati anaropoka alilewa uroda wa Landcruiser V8!
Kuna gari ukipanda hutamani kushuka😅!Nakumbuka nilikaa kushoto kwenye prado j120 lenye air suspension na full mufindi ile burudani yake tu ni balaa! Nikawaza hivi V8 itakuwaje kama Prado tu ni hivi?
Muhimu sanaTutafute pesa.
yani apa wana JF tunapishana sana sema hatujuani tuuhDuh hiki kijiwe watatuchoka [emoji23]
😀😀😀😀😀 itabidi next week jumapili au jumamosi twende mkuuSijawahi kufika hapo, siku nikiwa na safari ya kupita moro nitasogea niwaambie wanipatie kahawa kama ya Holy Man
Kwa sasa hivi nipo tight sana mkuu ukiaanza mwezi wa 8 nitakua free nina vyuma viwili sijavijaribu kabisa, ila kwako inabidi nibebe wildtrak tuende sawa [emoji28][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] itabidi next week jumapili au jumamosi twende mkuu
Duh walivyokuzingua na Subaru ukaamua kubeba Wildtrak! Safi sanaKwa sasa hivi nipo tight sana mkuu ukiaanza mwezi wa 8 nitakua free nina vyuma viwili sijavijaribu kabisa, ila kwako inabidi nibebe wildtrak tuende sawa [emoji28]
Wildtrck nzuri sura tu.Kwa sasa hivi nipo tight sana mkuu ukiaanza mwezi wa 8 nitakua free nina vyuma viwili sijavijaribu kabisa, ila kwako inabidi nibebe wildtrak tuende sawa [emoji28]
Nzuri sana, na mie mwezi wa nane nipo likizo ndefu kabisaa. nitakucheki hata tukatulie tupige kahawa story na kucheki mazingira mazuri ya pale. Hongera sana kwa mnyama 😀😀Kwa sasa hivi nipo tight sana mkuu ukiaanza mwezi wa 8 nitakua free nina vyuma viwili sijavijaribu kabisa, ila kwako inabidi nibebe wildtrak tuende sawa [emoji28]
Naona madongo ya subaru, huenda yalimfanya aichukie 😀😀😀Duh walivyokuzingua na Subaru ukaamua kubeba Wildtrak! Safi sana
Yah! Tutaenda mwendo wa serikali , ili tufike pamoja na kurudi pamoja.Sidhani kama atashindanisha pick truck na turbo charged sedan. Wataenda kukutana kunywa kahawa....wataongozana I guess
[emoji23]nawaombea sana iwe mnataka au hamtaki ,Saint Anne utuombee [emoji846][emoji846]
[emoji23]Kobe na farasi washindane mbio! Ataleta mrejesho
Ulitaka nikupe moyo, alafu mie yakinikuta nilie au niwe weak.. si ungeshangaa huyu mwalimu wa aje.. nilichokuwa nakuelekeza ndicho ambacho nakiishi 😄😄😄😄[emoji23]nawaombea sana iwe mnataka au hamtaki ,
Maombi yangu kwa Mungu kwenu ni lazima[emoji120].
I hope you're doing good,,,
Nimependa uko strong[emoji4].
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀😀, analusha jiwe gizani tu[emoji23]
We jamaa huwa unanifurahisha na style yako ya kuchangia mada bila kuquote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli Mwalimu nimejifunza kwa mfano [emoji120]Ulitaka nikupe moyo, alafu mie yakinikuta nilie au niwe weak.. si ungeshangaa huyu mwalimu wa aje.. nilichokuwa nakuelekeza ndicho ambacho nakiishi [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]