Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hahahahah ile mashine acha tu, humphrey polepole wakati anaropoka alilewa uroda wa Landcruiser V8!

Kuna gari ukipanda hutamani kushuka😅!Nakumbuka nilikaa kushoto kwenye prado j120 lenye air suspension na full mufindi ile burudani yake tu ni balaa! Nikawaza hivi V8 itakuwaje kama Prado tu ni hivi?
Tutafute pesa.
 
Kwa sasa hivi nipo tight sana mkuu ukiaanza mwezi wa 8 nitakua free nina vyuma viwili sijavijaribu kabisa, ila kwako inabidi nibebe wildtrak tuende sawa [emoji28]
Nzuri sana, na mie mwezi wa nane nipo likizo ndefu kabisaa. nitakucheki hata tukatulie tupige kahawa story na kucheki mazingira mazuri ya pale. Hongera sana kwa mnyama 😀😀
 
[emoji23]nawaombea sana iwe mnataka au hamtaki ,
Maombi yangu kwa Mungu kwenu ni lazima[emoji120].

I hope you're doing good,,,
Nimependa uko strong[emoji4].

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka nikupe moyo, alafu mie yakinikuta nilie au niwe weak.. si ungeshangaa huyu mwalimu wa aje.. nilichokuwa nakuelekeza ndicho ambacho nakiishi 😄😄😄😄
 
Ulitaka nikupe moyo, alafu mie yakinikuta nilie au niwe weak.. si ungeshangaa huyu mwalimu wa aje.. nilichokuwa nakuelekeza ndicho ambacho nakiishi [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Kweli Mwalimu nimejifunza kwa mfano [emoji120]
Nikafuta machozi, mbele ninaendelea.
Yale mahubiri uliyonihubiria naona umeyafanya kwa vitendo,,hiyo ndiyo Imani Sasa[emoji106]

Ila kiwango Cha Imani yako bado sijakikaribia japo robo[emoji4][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom