Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Kumbe ulikuwa unanitania? Basi tuendeleze utani 😂awwww Julieth.. serious 😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ulikuwa unanitania? Basi tuendeleze utani 😂awwww Julieth.. serious 😊
Inabidi akasome historia.. ndio ataelewa safari za miguu zipo nyingi, mfumo wa maisha ya sasa ndio unataka kutuaminisha kuwa bila gari au pesa huwezi safari
Hadi umeongelea historia na mfumo wa Sasa wa maisha ni wazi kwamba tayari unaujua.Hujajibu swali bado..
Tajiri hawezi kukaa miaka bila kununua nguo ukiona amepitisha hiyo miaka ujue huyo siyo tajiri
Yako ni ipi?Umaskini nao una definition yake.. sijui definition yako kama ipo sawa na yangu
Kweli, sasa ngoja nishuke huku mlimani nikupitie twende 😎 😎 anza kuweka booking tuKumbe ulikuwa unanitania? Basi tuendeleze utani 😂
Unaweza ukavaa kujisitiri na ukapendeza.Tajiri hawezi kukaa miaka bila kununua nguo ukiona amepitisha hiyo miaka ujue huyo siyo tajiri
Tofautisha kati ya kuvaa kupendeza na kuvaa kujisitiri yaani nguo lazima utanunua tu hata kama haupendi kuvaa maana yake wewe unavaa tu kujisitiri lakini nguo lazima utanunua tu hakuna cha hiari hapo
Ukiwa masikini ndiyo utakaa miaka yote hiyo bila kununua
Umaskini ni kutotaka kutoa ulicho nacho, kwa maana ingine umaskini ni uchoyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tupo
Mimi na wewe ...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Oh sawa.Umaskini ni kutotaka kutoa ulicho nacho, kwa maana ingine umaskini ni uchoyo
Mlima upi upo?Kweli, sasa ngoja nishuke huku mlimani nikupitie twende 😎 😎 anza kuweka booking tu
Huyu leo kaamua tu kubisha ila iko wazi kabisa somo limeshamuingia anataka aendeleze ligi tuInabidi akasome historia.. ndio ataelewa safari za miguu zipo nyingi, mfumo wa maisha ya sasa ndio unataka kutuaminisha kuwa bila gari au pesa huwezi safari
Kwaiyo bongo movie ni maskini ? maana wanatembea uchi.. haya alafu wote hapa tunakuwa kama maskini.. kitandani huwa tunabaki uchi hata masaa 72...Unaweza ukavaa kujisitiri na ukapendeza.
Na ukishaweza kununua nguo na hautembei uchi tayari wewe si masikini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlima wa mawe, 🙂 🙂 huku mda kidogo mnafunikwa na wingu mda kidogo mvua mda kidogo ukungu.. gari mnapaki km zaidi ya 300.. mnaenda na punda au trektaMlima upi upo?
Naandaa 😂
Afu bora umebadili avatar. Ile haikukupendeza hata kidogo.
Wanatembea uchi na kusafiri uchi?Kwaiyo bongo movie ni maskini ? maana wanatembea uchi.. haya alafu wote hapa tunakuwa kama maskini.. kitandani huwa tunabaki uchi hata masaa 72...
Unaweza kusave hata 10 yrs kusafiri.Kuna watu hata mlo tu wanaunga,unadhani wanaweza kupata nguvu za kuunga kusafiri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umaskini roho, siwezi kuongelea kitu kibaya mie.. daima huwa nakuwa positive kuanza jadili habari za umaskini hapa kwanza kama navunja protocal zangu
Teh teh mwanzo ulisema alisafiri kutafuta sifa tu na sasa hivi unasema tena alisafiri kwa ajili ya mechi tuWewe unaona yupo timamu?
Halafu huyo jamaa alisafiri kwa ajili ya mechi,hakusafiri kwa sababu anataka ajifurahishe tu kutembea hadi Dar na kurudi.
Ongezea na wengine ambao huwa wanasafiri tu kwa miguu mikoani na wanafanya kwa hobby tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikija Dar, nitakuita uje uone 😎Wanatembea uchi na kusafiri uchi?
Kanionyeshe basi hiyo mitaa wanayotembea uchi wa mnyama nikawaone.
Kama wanatembea uchi na wana nguo za kuvaa ila hawajavaa hao siyo masikini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi najadili utajiri katika road trip tu na siyo kwenye aspect nyingine za maisha.Umaskini roho, siwezi kuongelea kitu kibaya mie.. daima huwa nakuwa positive kuanza jadili habari za umaskini hapa kwanza kama navunja protocal zangu