Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Pole sana boss.Over the weekend trip to Arusha almanusura nifariki asee tulikua tunasafiri usiku kutoka Daslamu kuelekea Arusha via Crown Athlete ndani ya gar tulikua wawili Mimi na Wife t be kwa vile ni usiku alikua anafumuka kuanzia 100 hadi 150 yaan hata hausomi vibao vya barabaran
Wakat anaendelea kufumuka muda huo MI nasinzia mida ya kama saa 9 ikaja kutu overtake Subaru kwa kasi sana then ikaenda kupark katikati ya barabara basi nikaamshwa wakat tunakaribia tukapark gari then nikatoka Mimi nikamuacha wife t be ndan nikawa najiuliza ni mwizi au shida ni nini akashuka Brother flan na yeye alikua anasafir na family yake bas akasalimia akanambia Bolt ya rim imetoka imeenda kupiga kwenye kioo chake Cha mbele hadi imeweka ufa
Akahisi kwa spidi tulikua tunatembea hatuwez kujua kinachoendelea hivyo tuangalie tairi zetu asee ile kuchek nikaona dalili sooner or later tulikua tunaelekea kufa maana tairi ilikua imeshikiliwa na bolt moja tu hadi Ina nesanesa bas akanisaidia kuzitafuta bolt tukapata moja tu akanisaidia tukakaza rim pale na kuniambia kwamba mbili tu zitanifikisha salama ninapoenda kuhusu kioo akanambia nisijali ataenda kueka hata sticker uhai wangu ni muhimu Kuliko pesa so Sina haja ya kutoa pesa yoyote nilimshukuru sana maana bila ya wema wake sijui tungekua marehemu au vilema May Almighty bless you and your family wherever you are
Huyo jamaa amekuokoa parefu sana.
Ungechukua namba mkale mbuzi siku ingine.