Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23]Hehe kaombe lift hata kwenye zile Iveco za jeshi zile ndio zimekaa kibabe zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hehe kaombe lift hata kwenye zile Iveco za jeshi zile ndio zimekaa kibabe zaidi
Mzee baba hii post nimeikuta mpaka kwenye forum ya wanajeria "Naira Forum" Wana discuss.
Pole dada Saint Anne huo Usafiri kupanda lazima utumie msuli, ukisimama unaweza ukakutana na bazazi anakuchobea mgongoni.Natamani nihadithie kashkash za kwenye mwendokasi Leo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah,nikijichanga hela,kitu cha kwanza kununua ni gari hata ka passo tu.View attachment 1942461
Siyo mbaya labda wengine wanaona fahari kupigania siti kwenye madaladala, acha wajenge kwanza wasije wakafa wakapata Aibu kuwa walishindwa kuacha hata kakibanda.Miaka ile wakati naletwa hapa mjini nilikuta hiyo taratibu za kupanda basi ni kwa kupanga mstari Kama unawahi namba za shule na wakati wa kushuka ilitakiwa ushukie mlango wa mbele kulikuwa hakuna haya mambo ya kupimana nguvu wala kupandia madirishani
Ila ni vyema ajenge nyumba ili siku akikwama aiendeshe[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hizo foleni si zimeanza juzi tu hapa, zamani watu walikuwa wanapigana vikumbo hadi wanaharibu milango ikawa haifungiki automatically tena yaani dereva akibonyeza hola.Mwendokasi kupanda ni kwa foleni.
Imagine[emoji23]hapa naenda sota Kwenye foleni ya kupanda mwendokasi[emoji23]
Wakati wa kwenda afadhali kuna usimizi na utaratibu mzuri,,wakati wa kurudi kituo nilichopandia Jana[emoji119]walitaka watu wawameze wasimamizi kwa hasira.
Gari ni muhimu mno.
Angalau kwenye mwendokasi ndiyo naonaga kuna utaratibu mzuri, kwenye madaladala watu wanawekeana siti vizuri tu na hakuna mtu anasema chochote ukichelewa kuwa mpole tu.Wewe unaongelea miaka ile[emoji1][emoji38]
Hata Sasa foleni zipo Kwenye mwendokasi..
Jana kuna mtu akapanda ,akamuwekea mwenzie nafasi Kwa kuweka mzigo Kwenye siti..watu wamefika wakae anang'ang'ania seat eti amemuwekea mtu ambaye foleni yake haijafika[emoji23][emoji23][emoji23]
Watu walimshambulia,yaani Jana ilikuwa ni vituko[emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hizo foleni si zimeanza juzi tu hapa, zamani watu walikuwa wanapigana vikumbo hadi wanaharibu milango ikawa haifungiki automatically tena yaani dereva akibonyeza hola.
Na kwenya mwendokasi kuangushwa na kukanyagwa kisha watu wakapita juu yako ni jambo la kawaida sana, mabasi yao mengi sasa hivi yameharibika yamepaki tu pale gerezani.
Ndiyo maana kupunguza uharibifu wakaona waanze kuweka foleni, tena napo ni kwa vile vituo vikubwa ambapo gari ndiyo zinaanzia na pia suala la level seats bado ni changamoto.
Sasa ndiyo nikajiuliza hiyo system ingeletwa na kwenye madaladala ingewezekana kweli maana si kila mtu anapanda mwendokasi, wabongo tushazoea kutumia nguvu tu yaani.
[emoji23][emoji23]umeona eeeh!Siyo mbaya labda wengine wanaona fahari kupigania siti kwenye madaladala, acha wajenge kwanza wasije wakafa wakapata Aibu kuwa walishindwa kuacha hata kakibanda.
[emoji38]Pole dada Saint Anne huo Usafiri kupanda lazima utumie msuli, ukisimama unaweza ukakutana na bazazi anakuchobea mgongoni.
Unayaogopea nini? Yan we ni kaoga ka vitu vingi.Wale wazee wa Audi
Mimi siku nikipanda gari kubwa sijui nitajiona nani vile[emoji23],japo nayaogopa kiaina..yapo juu mno.
[emoji23][emoji23][emoji23]Unayaogopea nini? Yan we ni kaoga ka vitu vingi.
Anzia cruiser za porini, hardtop nk
Kuna jamaa gari ina miezi 6 sasa anasubiri namba E
Msisahau kusambaza upendo kwa kuleta mashine zenu Carwash ili vijana wenu mtugawie riziki na sisi tukavimbe tunapovimbia.
Mimi sitaishia kutamani tu bali ndiyo aina ya maisha ambayo nimeyachagua ya kuishi mwenyewe
Tatizo wanawake wengi kinachowakwamisha ni ile kuhitaji kuhudumiwa na wanaume ndicho wanachosema
Lakini mwanamke ukiwa na pesa zako na siyo sex maniac unaweza kuishi mwenyewe na kuwa single vizuri tu
Sasa subiri kipindi cha mvua barabara nyingi zifurike zisipitike utalia, foleni ya abiria inatoka hadi nje ya kituo na gari ni za kusubiri masaa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani kumbe utaratibu wameuweka hivi karibuni!
Ila pale gerezani utaratibu wao mbovu sana aisee,jamaa hata hawaangalii foleni ..Jana abiria walikasirika wakatamani wawapige wasimamizi[emoji1787]ila duniani kuna matukio nyie[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbezi kidogo wapo active.. Yaani ukiviruga mstari ukajipachika wanakuja kukutoa bila kujali ni mtu mzima au nani[emoji23][emoji1787][emoji23]
Hehe kaombe lift hata kwenye zile Iveco za jeshi zile ndio zimekaa kibabe zaidi
Haha wakuletee upite na masega ya watu? Sio vizuri banaPia msisahau kutuletea magari yenu garage tucheze na hayo masega.Na sisi tukapendeze weekend hii wazee.
Acha kuoshea vyombo sabuni za vipande 'jamaa sijui mshindi. Zinatia uvivu sana. .. Ili nimelishuhudia mwenyewe [emoji23]
Bachede kasema tunazingua na macomments haya yasiyohusu tripping.
[emoji38][emoji38][emoji38]Sasa subiri kipindi cha mvua barabara nyingi zifurike zisipitike utalia, foleni ya abiria inatoka hadi nje ya kituo na gari ni za kusubiri masaa.
Na ninyi abiria wa Kimara na Mbezi ndiyo huwa mnajaza sana yale magari, mimi walichokuwaga wananikera ni kubadilisha routes tu ghafla.
Yeah naonaga Rumion ikifungwa 18 inch rims inapanda sana yani inakuwa kama ni gari kubwa tu in-terms of ground clearance. I’ve seen several ones, ya dogo pia kafunga 18’z iko poa sana tu.