Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Ractis imeumana vibaya humo akitoka mtu akatoe fungu la 10 tu sababu mbung’a sio ya kitoto hio!ka Ractis wamekapiga mande mbaya sana, kama wazima jambo jema ila wanakula drip mda huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ractis imeumana vibaya humo akitoka mtu akatoe fungu la 10 tu sababu mbung’a sio ya kitoto hio!ka Ractis wamekapiga mande mbaya sana, kama wazima jambo jema ila wanakula drip mda huu
Hii nayo vipi au jamaa alifosi kupenya kikaumana!?
Ina maana aidha hakuona au alishindwa kumaliza before hawajaumana?Kwa mawazo yangu huyu aliovateki akakutana uso kwa uso na Ractis, bus nyuma ya Ractis likashindwa kusimama ghafla likakandamiza Ractis....habari za juu ni kwamba hamna mtu aliepoteza maisha.
Sasa kama ilikuwa hivi ina maana hii ajali ilikuwaje mbona haitahiminiki! Sababu hili lorry lililoongezeka limetokea wapi?
Duuuh! Nissan patrolTuwe makini
View attachment 1964410
Kweli kabisa mie gari la manual kama hilo li TD42 siwezi kuhangaika ku overtake wakati naona mbele hapako clear!Madereva wengi wana papara sana halafu sio wazuri kujaji umbali,mwendo wake na mwendo wa anaekuja.
Hahahahah ila ukiangalia hio nissan kwa picha nyuma inaonekana ubavuni mbele imebondeka. Sasa hilo lorry lilikujaje on the picture ndio haielewekiHii lorry sio Photoshop?
Mtu unaenda sehemu km500+ unashindwa kusubiri dakika 2-5 upate sehemu nzuri ya kupita?!Kweli kabisa mie gari la manual kama hilo li TD42 siwezi kuhangaika ku overtake wakati naona mbele hapako clear!
Gari yangu tu lazma nibust overdrive ikiitika ndio natoka mwendo wa ngiri yani rpm inaweza ikavuta mpaka 7 ikiachia mwendo wa kupepea tu dkk 0 nimerudi site! Sitanuagi kindezi bila kuona mbele
Watu wanajiaminigi sana yani unakuta hapo kilichowacost jamaa papara zao tu na kutokupiga hesabu za haraka. Yani ninachohisi ni kuwa inawezekana wote walitanua hawa!Mtu unaenda sehemu km500+ unashindwa kusubiri dakika 2-5 upate sehemu nzuri ya kupita?!
Uko sawa kabisa wife material, sema jamii zetu hizi nzito sana mbona mm nikiwahi home napika tu na wife akija anakula maisha yanaenda wanangu nawaosha tu.Tabia hizi wanazo sanasana wasukuma.
Mimi kuna shemeji yangu huyo yaani akikuta mtoto wake wa kiume yupo jikoni ni kesi.
Eti mtoto wa kiume hatakiwi kugusa jiko![emoji134]
Kuna wanaume yaani anakaa utadhani mlemavu,hafanyi kazi yoyote yaani..hata zile za usafi wa nje ambazo anaweza kufanya hafanyi..
Anasubiri tu kula na vyombo unamuoshea!
Unakumbuka uzi fulani mwanaume analialia humu eti mkewe hajamtengea maji ya kuoga bafuni[emoji38],huyohuyo mkewe ahudumie watoto,mkewe apike,afanye kila kitu..ukute ni mjamzito Halafu na maji ambebee!
Watu wakamwambia tafuta hela mkuu uweke Bomba la ndani chooni upunguze kulalamika
Ila hizi tamaduni sijui alitunga nani [emoji848]ifike muda zibadilishwe.,bila hivyo kutakuwa na mtifuano Sana.
Si ajabu tunajadili hapa kuna watu watatuona sisi siyo mawife materials,,yaani bongo mwanamke kuteseka ndio uwife material.
kapigwa mande ya hatari 😀😀Ractis imeumana vibaya humo akitoka mtu akatoe fungu la 10 tu sababu mbung’a sio ya kitoto hio!
Ni kweli uliye naye usimuache aende[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaweza pata mtu hana matatizo kabisa,ukiachilia mbali matatizo madogo madogo tu madhaifu ambayo kila mtu anayo .
Mimi najipa Moyo na ninaamini Mungu atanitendea nilivyoomba
Kuna muda ukifika utabadili mawazo.
ulitumia ile sado yenye rubber band? ina-handle vipi kwenye milima milima?Same mkuu, barabara ya Mwembe, Mbaga mpaka Ntenga....nilisafiri km 43 za barabara ya vumbi na milima ..[emoji4][emoji4]
Si mchezo. Tunakumbushana maana na mimi ndio naanza trip ya Moro hapaView attachment 1962308View attachment 1962309
Hizi gari zina namba DV... Ina maana hazina hata miezi 6 tangu zisajiliwe
IST zikigongana lazima watashuka vijana waliovaa vibuktaIST again...
Wamei 'sandwich' Ractishuu mzinga hatari sana, kuna Nissan, hiyo gari nyeusi sijui gari gani na hilo basi duh
Nakuwa na amani kukiwa hamna gari mbele wala nyuma yangu. Naachaga following distance kubwa sana. Jitoe akili uniovateki uingie kwenye hiyo safe area yangu.... nikiwa na kichaa na pakiwa safe hutaamini ninavyoiziba chap unahangaika kurudi au kutafuta mnyonge mbeleNdio maana huwa sipendi bus au lorry linikalie karibu mbele au nyuma
Jumapili na trip ya shinyanga 😀😀,na jana nimeenda moro na kurudi mdogo mdogoSi mchezo. Tunakumbushana maana na mimi ndio naanza trip ya Moro hapa