Hahhaha! Pole!!This is daslam [emoji119]
Nimepanda mwendokasi yaani mtu kaninyanyulia kwapa lake lote usoni [emoji30],limeloa jasho na linanuka[emoji36]
Hivi daslam inawezekana kuvaa nguo mara nyingi bila kufua??
Aisee kuna watu wana vikwapa vikali mno[emoji22]
Sent using Jamii Forums mobile app