Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Bavaria
RRONDO
7AE66242-0798-491B-AAEF-295DA664FF77.jpeg
 
Jana mnyama wako Sauli ametupita Igawa, na tumepishana dk chache tu kuingia Mbeya.
Hilo gari naona wanalioverrate mno.

Nimegundua hizi gari zina mwendo wa kawaida, ila hazisimami muda mrefu njiani.
Unafuatiliaga top 3 ya mabasi yanayowahi kufika kwa route ya Dar Mbeya? Hata Al Saedy pia yumo na ni kawaida yao kuchuana na Sauli yaani Sauli akiwa wa kwanza ujue Al Saedy yuko nyuma na siku Al Saedy akiwa wa kwanza ujue Sauli yuko nyuma!

Ule siyo mwendo wa kawaida kwa hizi tochi za miaka hii aise ni kwamba tu hata wewe ulipanda basi ambalo nalo linasifika kwa kuwahi kufika! Ungepanda Rungwe au mabasi mengine yanayotambaa kisha ukafika saa nne usiku ndiyo ungeelewa!
 
Ila kwenye huu uzi nimegundua, kwa upande wa German cars Holy Man unapenda Audi zaidi, RRONDO anapenda Volkswagen zaidi, Bavaria anapenda BMW zaidi.

Namtafuta mwenye mapenzi na Mercedes Benz zaidi
VW na Audi ni kitu kimoja. Nazungumzia sana VW kwasababu ndio naitumia ila ndio mnyonge kwenye Germany cars. BMW na MB wako level yao kwangu Mimi Kati ya BMW na MB, BMW iko juu.
 
Unafuatiliaga top 3 ya mabasi yanayowahi kufika kwa route ya Dar Mbeya? Hata Al Saedy pia yumo na ni kawaida yao kuchuana na Sauli yaani Sauli akiwa wa kwanza ujue Al Saedy yuko nyuma na siku Al Saedy akiwa wa kwanza ujue Sauli yuko nyuma!

Ule siyo mwendo wa kawaida kwa hizi tochi za miaka hii aise ni kwamba tu hata wewe ulipanda basi ambalo nalo linasifika kwa kuwahi kufika! Ungepanda Rungwe au mabasi mengine yanayotambaa kisha ukafika saa nne usiku ndiyo ungeelewa!
[emoji38]
Nilitaka niwahi kufika,pia nione huo mwendo wa maajabu ambao hizi gari zinatembea.
Ni mwendo uleule ambao hata akina Happy Nation wanatembea.
Nimeshangaa sauli inayosifika kwa kukimbia imetupita Igawa,napo tulisimama kujaza upepo..na mwendo wetu naona ulikuwa wa kawaida mno.

Sijaona kama yanakimbia sana, ila tu wanaenda sana na muda vituoni,,hawataki kuchelewa kabisa hotelini na katika kuchimba dawa.


Rungwe lile gari halitembei wala halikimbii,ila linachechemea.
Ila nalipenda kwa sababu wana customer care nzuri sana.
 
[emoji38]
Nilitaka niwahi kufika,pia nione huo mwendo wa maajabu ambao hizi gari zinatembea.
Ni mwendo uleule ambao hata akina Happy Nation wanatembea.
Nimeshangaa sauli inayosifika kwa kukimbia imetupita Igawa,napo tulisimama kujaza upepo..na mwendo wetu naona ulikuwa wa kawaida mno.

Sijaona kama yanakimbia sana, ila tu wanaenda sana na muda vituoni,,hawataki kuchelewa kabisa hotelini na katika kuchimba dawa.


Rungwe lile gari halitembei wala halikimbii,ila linachechemea.
Ila nalipenda kwa sababu wana customer care nzuri sana.
Hehe kwamba akina Sauli wafike saa 12 halafu kina Rungwe wafike saa 4 ukasemage wanapishana muda wa kusimama vituo tu? Hebu piga mahesabu hapo tofauti ya hayo masaa na muda wanaopishana kusimama kwenye hivyo vituo!

Au wewe ulitaka yakiwa barabarani uone yanakimbia kama ma V8 ndiyo useme yanakimbia? Hapo tofauti hauwezi kuiona bali muda wa kufika ndiyo unayatofautisha haya mabasi yaani wanafanya wafanyavyo mradi saa 12 wamefika!
 
Back
Top Bottom