Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Gari za gazeti za Mbeya zimefanya yake.

Tisa wafa jana/leo... Kuna aliyeonq taarifa?
...imekula mzinga wa kutosha
ajali-pic-data-360x220.jpg
 
Hizo walitakiwa waweke 260kph...sema Mjapan ana akili ukianza kupanda kuanzia 160+ unaona kabisa gari inaachana na lami
Ha ha juzi jumamosi niliamua kukitoa mafua ki baby walker changu mpaka moshi niligonga 140 haikuwa poa aisee hivi vigari vidogo vikae mjini ukiwa na safari ndefu tembea kwa usalama, mkeka wa segera - msata wa hovyo sana hasa ukitembea usiku
 
Ha ha juzi jumamosi niliamua kukitoa mafua ki baby walker changu mpaka moshi niligonga 140 haikuwa poa aisee hivi vigari vidogo vikae mjini ukiwa na safari ndefu tembea kwa usalama, mkeka wa segera - msata wa hovyo sana hasa ukitembea usiku
Msata Segera kuna vile vishimo kama lami imebanduka hivi. Pia njia hio kuna sehemu nyingi barabara iko kama tuta, ikitokea gari,lori mbele linaovateki huna pa kukimbilia zaidi ya bondeni.
 
Msata Segera kuna vile vishimo kama lami imebanduka hivi. Pia njia hio kuna sehemu nyingi barabara iko kama tuta, ikitokea gari,lori mbele linaovateki huna pa kukimbilia zaidi ya bondeni.
Kuna sehemu zina miti na kingo pembezoni mwa barabara na kona kali hapo ndio napaonaga jau sana hasa ukitembea usiku pale kwa mtu ambae sio mzoefu mnaweza mkavaana maana njia ni nyembamba pia!

Kuna siku baada ya zile corner tumekuta lorry la bia limemwagika katikati ya barabara ina maana kama ulikuwa umemwaga moto ukikutana nalo ghafla na huna brembo brakes lazma kiumane😅
 
Kuna sehemu zina miti na kingo pembezoni mwa barabara na kona kali hapo ndio napaonaga jau sana hasa ukitembea usiku pale kwa mtu ambae sio mzoefu mnaweza mkavaana maana njia ni nyembamba pia!

Kuna siku baada ya zile corner tumekuta lorry la bia limemwagika katikati ya barabara ina maana kama ulikuwa umemwaga moto ukikutana nalo ghafla na huna brembo brakes lazma kiumane😅
Ndio maana nimeacha kusafiri usiku. Hatari sana
 
Back
Top Bottom