Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Uko sahihi 100% [emoji1787][emoji1787] wananikuta taa za mbele

Mara chache sana nafanikiwa kuvuka kijani za mbele na wao wakifika wanakuta nyekundu. Ila most times nakuwa nawapa show tu na baadhi (hasa vijana) wakinikuta mbele wananigusia kahoni kidogo ka appreciation.

Mjini kuendesha haraka sio kufika haraka.
Ukipata gari toka Germany andaa fungu la fine la kutosha. Na uandike wosia kabisa.
 
Kwamba Tandika ni kubaya?
Kubaya kama huku Isyesye
IMG_20220111_102530_1.jpg
 
Basi nitaacha dear [emoji19][emoji19]

Ila hadi sasa nimeshawaahidi watu kama kumi hivi kuwa nitaacha maana wengi wanaonizunguka hawanywi hivyo pia hawapendi kuniona nakunywa. Ila hata sioni dalili za kuacha daah.
Sikutegemea kama unakunywa pombe.
Siku niliyoona dah! Nilisikitika mno...nikakuvutia picha jinsi ulivyo,unavyoongea,binti mdogo unafukia bia?!!
Bora uache aisee😒
 
Back
Top Bottom