ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Bila shaka. Na watu walikuwa wanapiga stori kwenye gari na kuongea na simu as if niko 100 kumbe niko 180.Kupata average 110kph kuna sehemu inabidi ufanye hivi....
View attachment 2135131
Abiria mmoja alikuwa anatapika njia nzima. Next time nikipakia abiria nawauliza kwanza kama wako stable maana ilikuwa patashika.