Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,758
- 26,885
[emoji1787]Bora vurugu za mabus au top speed za private?
Songwe: Basi la Kampuni ya Kilimanjaro Express lapata ajali, watu wanne wafariki dunia
Bus la kampuni ya Kilimanjaro limepinduka asububuhi hii mkoani Songwe likitokea Tunduma kuelekea Jijini Dar es salaam ambapo taarifa za awali zinaeleza ajali hiyo imesababisha watu kadhaa kufariki na uwepo wa majeruhi, taarifa kamili zitakujia hivi punde. =================== Basi la Kampuni ya...www.jamiiforums.com
Hutaki masihara
Umemletea na ushahidi
Kabisa