Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
ila ina 300HP tuEeh hio GR version ni sport version
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila ina 300HP tuEeh hio GR version ni sport version
Sio ndogo lakini mwendo upo hapo😅ila ina 300HP tu
wangefanya kama Y62 400HP ingependezaSio ndogo lakini mwendo upo hapo😅
Hahahah vx-r yake ina 415HP so you just choose your destiny😅wangefanya kama Y62 400HP ingependeza
Sure imekaa kikazi sana VXR mnyama sanaHahahah vx-r yake ina 415HP so you just choose your destiny😅
Hii GR kwao ni kwa ajili ya offroad setting iko poa zaidi.
Hilo dude sipati picha wale ma suka wa stl wakipewa mashine ng’ada kibaoni 260kph halafu chuma ina full tank engine ni 415HP!Sure imekaa kikazi sana VXR mnyama sana
😄😄😄 naona wana zisubiri kwa hamu sanaa.. tusubiri budget mpya ikitoka watakuja nazo.. nasubiri kuziona kwenye msafara wa mamaaaHilo dude sipati picha wale ma suka wa stl wakipewa mashine ng’ada kibaoni 260kph halafu chuma ina full tank engine ni 415HP!
Dar - Dom itakuwa ni speed mshale masaa 3.5 maana yanafungua kweli kweli hayo
Budget ikitoka tu lazma chuma zimwagike road😂😂😂 watasumbua sana yani😄😄😄 naona wana zisubiri kwa hamu sanaa.. tusubiri budget mpya ikitoka watakuja nazo.. nasubiri kuziona kwenye msafara wa mamaaa
wazee wa plate number za ziada.. ukifika usiku anachomoa STL anaweka ya magumashi anakula rahaBudget ikitoka tu lazma chuma zimwagike road😂😂😂 watasumbua sana yani
Hivi kuna Landcruiser za Serikali ambazo ni Petrol..!!? Maana hiyo spec 415hp ni ya petrol engine..!Hilo dude sipati picha wale ma suka wa stl wakipewa mashine ng’ada kibaoni 260kph halafu chuma ina full tank engine ni 415HP!
Dar - Dom itakuwa ni speed mshale masaa 3.5 maana yanafungua kweli kweli hayo
Ya kawaida tu.Ipoje hio mashine?
Ilikuwa nyeusi.
Safi sanaIlikuwa nyeusi.
Kwa Africa, hizi gari zinaingia dealerships kuanzia 2023 January officially.[emoji1][emoji1][emoji1] naona wana zisubiri kwa hamu sanaa.. tusubiri budget mpya ikitoka watakuja nazo.. nasubiri kuziona kwenye msafara wa mamaaa
Zipo nyingi sana.Hivi kuna Landcruiser za Serikali ambazo ni Petrol..!!? Maana hiyo spec 415hp ni ya petrol engine..!
Tutegemee mwaka serikali kuyachukua pale toyodaKwa Africa, hizi gari zinaingia dealerships kuanzia 2023 January officially.
Hizi unazoziona, hazipitii Toyota Tanzania. Wanazileta kivyao.
Watu hawana nidhamuLeo nimekutana na LC300 GR mitaa ya Njiro.
Mi nashusha yeye anapandisha.
DYR.
Zipo mkuu sema chacheHivi kuna Landcruiser za Serikali ambazo ni Petrol..!!? Maana hiyo spec 415hp ni ya petrol engine..!
Ushafika 130kmph?Wakuu salute, mambo mliyoniambia nitayafanya nikizoea barabara nikawabishia, naona sasa nayafanya na nimekua expert kabisa kwa muda mfupi😎😎😎😎