Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Jambo la kushuruku Mungu, Brake yalifail mzee baba kitu paaaa [emoji43]‍[emoji94][emoji43]‍[emoji94][emoji43]‍[emoji94][emoji43]‍[emoji94].... Nipo hapa napiga kahawa niliamshe chato then dar es salaam night by night kesho jioni nitakuwa dar es salaam viunga vya manzese View attachment 2330236View attachment 2330235
Ukizunguka round about ya Usagara hapo unaitema ya kurudi Shy,unaila y kuitafuta King'ongo Busisi,ila lami flani ivi tamu sana,ina matuta kadhaa lakini,ukivuka tu pale mwamba unakula kama km65 ivi kuitafuta Geita,ukifika round about pale kwenye mnara pale unakula left kuitafuta Katoro baba la baba,unachafua ile mamamae na chafu zote imenyooka ile road ni laana hadi pale junction,ukila kulia unaenda Chato,ukinyooka unaitafuta Katoke,kuibukia Biharamulo iyo mwamba.
Kama huna mishe tena Mwanza wakati wa kurudi temana nayo,tembea hadi Runzewe, yaani pale junction usikunje left kurudi tena Katoro kwa akina Kunze,nyoosha goti ibukia Runzewe,unakula lami moja tamu sana kuitafuta Kahama,pale kama huna mambo mengi nyoosha goti kuitafuta Kagongwa,Tinde,kula kulia chuma iume Nzega.
Kuna kama km 100 ivi kuitafuta Igunga,then Igunga pale mpakani kuisaka Dom utachafukwa na 353km,halafu ndo uje uchafukwe nyongo tena na hizi 440+ km Dom kuitafuta jiji letu pendwa.
 
Ukizunguka round about ya Usagara hapo unaitema ya kurudi Shy,unaila y kuitafuta King'ongo Busisi,ila lami flani ivi tamu sana,ina matuta kadhaa lakini,ukivuka tu pale mwamba unakula kama km65 ivi kuitafuta Geita,ukifika round about pale kwenye mnara pale unakula left kuitafuta Katoro baba la baba,unachafua ile mamamae na chafu zote imenyooka ile road ni laana hadi pale junction,ukila kulia unaenda Chato,ukinyooka unaitafuta Katoke,kuibukia Biharamulo iyo mwamba.
Kama huna mishe tena Mwanza wakati wa kurudi temana nayo,tembea hadi Runzewe, yaani pale junction usikunje left kurudi tena Katoro kwa akina Kunze,nyoosha goti ibukia Runzewe,unakula lami moja tamu sana kuitafuta Kahama,pale kama huna mambo mengi nyoosha goti kuitafuta Kagongwa,Tinde,kula kulia chuma iume Nzega.
Kuna kama km 100 ivi kuitafuta Igunga,then Igunga pale mpakani kuisaka Dom utachafukwa na 353km,halafu ndo uje uchafukwe nyongo tena na hizi 440+ km Dom kuitafuta jiji letu pendwa.
Asisahau na kamshale ka pale kwenye dashboard kasome vyema.[emoji16]
 
Jambo la kushuruku Mungu, Brake yalifail mzee baba kitu paaaa [emoji43]‍[emoji94][emoji43]‍[emoji94][emoji43]‍[emoji94][emoji43]‍[emoji94].... Nipo hapa napiga kahawa niliamshe chato then dar es salaam night by night kesho jioni nitakuwa dar es salaam viunga vya manzese View attachment 2330236View attachment 2330235
Duuh pole Sana,hii kitu iliwahi kunitokea aisee sitasahau vitu vingine ni Mungu Tu niliivaa land cruiser oooh hahhha Acha Tu.

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Kama gari kubwa uyole-ubungo petrol station tulitumia masaa tisa(coaster 12h-t)kwa umbali wa km800,hiyo 420km anashindwaje kutumia masaa matano tena gari ndogo!?shuhuda ni dereva wa hiyo coaster wa biafra(maarufu Dullah)
Njia ya mbeya ina sehemu nyingi sana za kukimbia i.e mlima wa nyoka ule, inyala, igurusi, ubaruku kuitafuta igawa kule kote ni mbio...igawa makambako kote mbio-makambako-iringa, iringa kuitafuta iyovi-mikumi-morogoro ni mbio kwenda mbele njia ya mbeya sehemu kubwa unakua unakimbia sana..
 
Njia ya mbeya ina sehemu nyingi sana za kukimbia i.e mlima wa nyoka ule, inyala, igurusi, ubaruku kuitafuta igawa kule kote ni mbio...igawa makambako kote mbio-makambako-iringa, iringa kuitafuta iyovi-mikumi-morogoro ni mbio kwenda mbele njia ya mbeya sehemu kubwa unakua unakimbia sana..
Matuta hakuna eeh 😂😂😂 au ndio "Ndugu abiria tujishikilie"
 
Njia ya mbeya ina sehemu nyingi sana za kukimbia i.e mlima wa nyoka ule, inyala, igurusi, ubaruku kuitafuta igawa kule kote ni mbio...igawa makambako kote mbio-makambako-iringa, iringa kuitafuta iyovi-mikumi-morogoro ni mbio kwenda mbele njia ya mbeya sehemu kubwa unakua unakimbia sana..
Njia ya mbeya nzuri kwa magari madogo Wenye masemi ni maumivu kwao kama break ni tia maji.
 
Ukizunguka round about ya Usagara hapo unaitema ya kurudi Shy,unaila y kuitafuta King'ongo Busisi,ila lami flani ivi tamu sana,ina matuta kadhaa lakini,ukivuka tu pale mwamba unakula kama km65 ivi kuitafuta Geita,ukifika round about pale kwenye mnara pale unakula left kuitafuta Katoro baba la baba,unachafua ile mamamae na chafu zote imenyooka ile road ni laana hadi pale junction,ukila kulia unaenda Chato,ukinyooka unaitafuta Katoke,kuibukia Biharamulo iyo mwamba.
Kama huna mishe tena Mwanza wakati wa kurudi temana nayo,tembea hadi Runzewe, yaani pale junction usikunje left kurudi tena Katoro kwa akina Kunze,nyoosha goti ibukia Runzewe,unakula lami moja tamu sana kuitafuta Kahama,pale kama huna mambo mengi nyoosha goti kuitafuta Kagongwa,Tinde,kula kulia chuma iume Nzega.
Kuna kama km 100 ivi kuitafuta Igunga,then Igunga pale mpakani kuisaka Dom utachafukwa na 353km,halafu ndo uje uchafukwe nyongo tena na hizi 440+ km Dom kuitafuta jiji letu pendwa.
Hiyo barabara ya kutokea Busisi mpaka Chato ina mzuka wa kufa mtu na watu wanapimana vifua haswa. Hakuna ishu ya utaalamu wa dereva pale ni battle ya horsepower na top speed.

Nilitembea km 208 kwa dakika 124... Kupata average ya 100kmph+ muda mwingi nilikuwa natembelea 180. Hapo zilichomwa lita 27 za mkojo wa mwarabu @7.7kmpl

Life was good, those were the days

20210208_084011.jpg
 
Kwanzia igawa kurudi chimala adi apa karibu na mlima nyoka barabara ni ndogo mno na ina mashimo shimo mixer viraka usiku kama una macho ya sungura unaingiza gari porini sio pakukimbia kabisa kwanzia hapo ila kwanzia igawa pale hadi uko mbele ni [emoji91]
Pa kiboya sana njia ina mashimo sana hio ishanikatiaga uzi wa tyre nikafika tairi ina vinundu kama imeng'atwa na nyuki 😂😂😂 af kuna zile bus za Hino madereva wake wanaendesha kama wamekula ndumu!
 
Hiyo barabara ya kutokea Busisi mpaka Chato ina mzuka wa kufa mtu na watu wanapimana vifua haswa. Hakuna ishu ya utaalamu wa dereva pale ni battle ya horsepower na top speed.

Nilitembea km 208 kwa dakika 124... Kupata average ya 100kmph+ muda mwingi nilikuwa natembelea 180. Hapo zilichomwa lita 27 za mkojo wa mwarabu @7.7kmpl

Life was good, those were the days

View attachment 2331033
Af watu wanachukulia easy kuipata average ya 100km/h sio mchezo. Inakubidi utembee haswa na most of the time uwe una clock 180kph.
 
Pa kiboya sana njia ina mashimo sana hio ishanikatiaga uzi wa tyre nikafika tairi ina vinundu kama imeng'atwa na nyuki [emoji23][emoji23][emoji23] af kuna zile bus za Hino madereva wake wanaendesha kama wamekula ndumu!
Pale sio nkuu yani lami imemeguka meguka kuna seem usiku ni za kuwaiana kupita ukichelewa tairi ya kushoto inapita nje ya lami mdano mabus hayawezi pishana lazima mmoja tairi yake Iwe nje ya lami maana imelika siku moja tunapeleka msiba swanga na coaster dereva alipiga shimo adi tuliamka[emoji16][emoji81]
 
Back
Top Bottom