Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kama unaendesha usiku na huna convoy hasa za ITS,fanya convoy na malori ya mafuta, maana yanakua yanarudi empty na yanatambaa sana ILA ni muhimu mno dreva wa tank afahamu uweko wako, tailing sio nzuri maana anaweza hisi ya a bad man,mpite kwa heshima, mpe hoot za kirafiki, then Mwache akupite awe ana clear njia
 
Sasa ungepost screenshot ambayo ina support hiyo claim. Unachokizungumzia na ukichopost ni vitu tofauti. Road trips haziwi determined na max speed mkuu bali average speed.
Na ukitembea focus yako ikiwa kwenye wastani huangaiki na kukimbiza kimbiza gari hovyo , na unamaliza safari yako kwenye mda. Unajua wapo ulitembea chini wapi ufidie unatembea kiafisa kabisa
 
Na ukitembea focus yako ikiwa kwenye wastani huangaiki na kukimbiza kimbiza gari hovyo , na unamaliza safari yako kwenye mda. Unajua wapo ulitembea chini wapi ufidie unatembea kiafisa kabisa
Yani ndo nnachofanyaga. Nikanza trip nareset trip & fuel computer then nakuwa kila baada ya muda muda fulani naangalia average yangu na ku adjust. Nikiwa sina shida na wese nalenga 90kmph otherwise nabalance average fuel consumption na average speed. Most times at 84kmph nakuwa na 9.5kmpl.

Inafanya driving iwe more involved sio kuitupa tupa tu gari just because it can go. Nafeel kama rubani hivi.
 
Kesho napiga trip ya Arusha.

Nataka ondoka sa 8 mchana, mdogomdogo mwendo wa kifaza.

Nimeazima mjerumani VW Tiguan, 2.0L 6 speed Manual,
Nione flavour ya mzungu safarini.
All the best. Ukirudi uko hatarini kununua hio. Ila ingekuwa 2.0Tsi 7-speed dual clutch automatic ungeona ufundi wa Mjerumani.
 
Safari ni Dar - lindi - mnazi mmoja - masasi - tunduru - namtumbo - songea - mbinga na kituo ni mbambabay... Total filling station shekilango hapa nakunywa mafuta.. muda 10:14
3gr kifuani...
20220826_095852.jpg
 
Safari ni Dar - lindi - mnazi mmoja - masasi - tunduru - namtumbo - songea - mbinga na kituo ni mbambabay... Total filling station shekilango hapa nakunywa mafuta.. muda 10:14
3gr kifuani... View attachment 2335209
Welldone mkuu na travel safely, ukifika Namtumbo pls piga piga picha nyingi ,na vijiji vyote kati ya Namtumbo na Songea hasa,Lwegu, Kumbara, Litola, Namabengo na Lumecha, pls pls mkuu na tupia humu au PM me
 
Safari ni Dar - lindi - mnazi mmoja - masasi - tunduru - namtumbo - songea - mbinga na kituo ni mbambabay... Total filling station shekilango hapa nakunywa mafuta.. muda 10:14
3gr kifuani... View attachment 2335209
Nina muda mrefu sana sijapita njia ya kusini. Mara ya mwisho nafikiri ni 2013 hivi wakati kile kipande korofi ndio kimewekwa lami mpya. Sijui sasa hivi njia hio ikoje.
 
Back
Top Bottom