National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Hapa unapita wapi mzee bana 0-100 , 4 secondNipe tu kanyooshwe 😂😂😂 af nilichogundua hizi gari za ki berlin sio zote zina power sana basi tu. Propoganda ni nyingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa unapita wapi mzee bana 0-100 , 4 secondNipe tu kanyooshwe 😂😂😂 af nilichogundua hizi gari za ki berlin sio zote zina power sana basi tu. Propoganda ni nyingi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nipe tu kanyooshwe [emoji23][emoji23][emoji23] af nilichogundua hizi gari za ki berlin sio zote zina power sana basi tu. Propoganda ni nyingi.
Huyu ndio atainyoosha fuga sasa... 283HP, 260lb.ft torque
Mkuu nilikuwa na familia nzima on board, wife na watoto wote.Kweli kifaza, muhuni ilitakiwa saa 6 isome chuga, huo muda uliotoka ni mzuri sana kwa German machine.😂
Ahaa kama una familia ulikuwa sahihi kabisaMkuu nilikuwa na familia nzima on board, wife na watoto wote.
Pia mambio me ni muoga kwa sasa.
Zamani kidogo Yes.
😀😀 Ukimuona unampa heshima yake tu apite . Nikiona gari yenye kuzidi kila kitu huwa siangaiki naicha iendelee na biashara zakeHuyu ndio atainyoosha fuga sasa... 283HP, 260lb.ft torque
Yulee anapepea
Mashine gani hii wakuuu
BMW M340iMashine gani hii wakuuu
Ya nini ujiumize, uingie ligi ambayo huwezi kushinda😀😀 Ukimuona unampa heshima yake tu apite . Nikiona gari yenye kuzidi kila kitu huwa siangaiki naicha iendelee na biashara zake
Mambo mengine ni rahisi kabisa. Umeanza safari umetembea zaidi ya masaa mawili au matatu halafu ghafla unaona kuna mtu nyuma yako anataka kupita mpishe tu maana mpaka kakufikia ni wazi anaenda mbio kuliko wewe. Sasa wengine hapo ndio wanaanzisha ligi.Ya nini ujiumize, uingie ligi ambayo huwezi kushinda
Huyu ndio atainyoosha fuga sasa... 283HP, 260lb.ft torque
Yulee anapepea
DSN 😀😀😀 hili 450 au 350View attachment 2337255
Mwamba kuna fuga hili liko sokoni
2490 hilo mzee baba 😀DSN 😀😀😀 hili 450 au 350
Si haba bado ni 🔥🔥🔥2490 hilo mzee baba 😀
Sometime ule upweke unaku boa na kukuslow down so anapokuja mtu kukupitia unaunga msafara unamfanya pacemaker at a safe following distance. Unapata mtu wa kukuangalizia barabara na kukuamsha speed. Ni raha ya road trip na inapunguza sana fatigue usiku.Mambo mengine ni rahisi kabisa. Umeanza safari umetembea zaidi ya masaa mawili au matatu halafu ghafla unaona kuna mtu nyuma yako anataka kupita mpishe tu maana mpaka kakufikia ni wazi anaenda mbio kuliko wewe. Sasa wengine hapo ndio wanaanzisha ligi.
Huyu fuga lastborn, 207HP 2500ccView attachment 2337255
Mwamba kuna fuga hili liko sokoni
Kuna mwanangu ndio anaiuza hiyoHuyu fuga lastborn, 207HP 2500cc
Kuna fuga ya kati 283HP 3500cc
Na kuna fuga firstborn 328HP 4500cc V8
Trims zinaanzia XV, XVVIP, GT na GT FOUR (4WD)
Zote body na interior ni ile ile, ila engine & trim kubwa zaidi zina more luxury features mfano heated & cooled seats, bluetooth audio (zote zina bt calls), heated & powered rear seats, foldable rear multimedia screen, sunroof, LED rear lights e.t.c
Hiyo 250GT pichani ndio highest trim kwa 2500cc engine
Soko la used hazina bei hizo mkuu, zinaogopwa. Hapo mwenye gari anapewa 6-7M tu, dalali atamshikisha mtu kwa 8M+
Kuna mtu anataka aichukue?
Kitu dsnSi haba bado ni 🔥🔥🔥