National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Vyumba ni cheap double deluxe 110k, stndardard 160 executive 350k , quality wanajitahidi ila msosi bado sana, brekafast wanajitahidiRate zao zikoje? Quality?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyumba ni cheap double deluxe 110k, stndardard 160 executive 350k , quality wanajitahidi ila msosi bado sana, brekafast wanajitahidiRate zao zikoje? Quality?
Hii wallet mbona haina hela?Mkeka wa EA roads View attachment 2345614
Nice viewRoad ya kwenda ziwa Nyasa nice for Vacation kuna view nzuri za safu za milima panapendeza. Nilikua huko na familia tunabarizi kidogo
View attachment 2345640
Vipi ujenzi pale border umeisha?maana muda mrefu pale Kasumulu border postRoad ya kwenda ziwa Nyasa nice for Vacation kuna view nzuri za safu za milima panapendeza. Nilikua huko na familia tunabarizi kidogo
View attachment 2345640
Niwekeemo basi 🤣Hii wallet mbona haina hela?
Pamejengwa jengwa mkuu sijui ww labda ulipaachaje maybe mimi sikuwahi kupaona kabla. Tulipita kwa mbali like kuview then tulielekea njia nyingineVipi ujenzi pale border umeisha?maana muda mrefu pale Kasumulu border post
Ahsante inaonekana ujenzi unakwenda very slow, maana nikipita mwaka umepitaPamejengwa jengwa mkuu sijui ww labda ulipaachaje maybe mimi sikuwahi kupaona kabla. Tulipita kwa mbali like kuview then tulielekea njia nyingine
Pamejengwa sana tu kwa sisi ambao tumeishi miaka ya 90..... maana Enzi hizo ofisi za hapo zilikuwaga ni zile zimejengwa kwa mbao, baade miaka ya 2000+ ndo wakajenga hilo jengo ambalo lilikuwa linafanana kidogo na lile na upande wa malawi kabla ya kujenga hii ya sasa... japo wapo slow sana ila pamekuwa pazuri sana kwa sisi ambao tumeishi hapo.... wasalimie matenki hapo na kwa maganga..... (tulikuwa vijana wa kota enzi hizo)Pamejengwa jengwa mkuu sijui ww labda ulipaachaje maybe mimi sikuwahi kupaona kabla. Tulipita kwa mbali like kuview then tulielekea njia nyingine
Welldone mkuu ashukuriwe Mwenyezi Mungu kwa kukulinda, Man utd 3-Arsenal 1,poleni ArsenalNilifika salama game ya man u nimeichelewa kwa dk 18, njia ya kibaha foleni sanaView attachment 2345725
Hahaaaaaa.Nabahatishaga pisi kali kinoma, sema meno sina siku hizi [emoji16][emoji16][emoji16] kibogoyo naishiaga kuchukua namba na kufuta
Mimi hapa agricultural engineer/farm engineering & farm technical consultant wa kujitegemea RRONDOLeo niko shamba ndio nageuza
View attachment 2345649
Thanks mkuu, unakimbia sana mimi aisee
Kulikuwa na kifoleni ushenzi mkuuLeo hamna foleni
Pole kwa arsenal na fans wao, GGMU, Asante MkuuWelldone mkuu ashukuriwe Mwenyezi Mungu kwa kukulinda, Man utd 3-Arsenal 1,poleni Arsenal
Ilikua ni sfr ya kupita tuu mkuu..Asante kwa ufafanuzi maendeleo yanakuja japo mdogo mdogo si haba. Tulienda enzi hizo wkt niko sekondari miaka ya 2000 palikua si pabaya ila kwa sasa pamejengeka zaidi.Pamejengwa sana tu kwa sisi ambao tumeishi miaka ya 90..... maana Enzi hizo ofisi za hapo zilikuwaga ni zile zimejengwa kwa mbao, baade miaka ya 2000+ ndo wakajenga hilo jengo ambalo lilikuwa linafanana kidogo na lile na upande wa malawi kabla ya kujenga hii ya sasa... japo wapo slow sana ila pamekuwa pazuri sana kwa sisi ambao tumeishi hapo.... wasalimie matenki hapo na kwa maganga..... (tulikuwa vijana wa kota enzi hizo)