ozigizaga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 701
- 1,703
Ni pazuri na kuna maendeleo kwa kiasi chake... shida ni hela ya Malawi imeshuka sana kupelekea biashara kuyumba...Ilikua ni sfr ya kupita tuu mkuu..Asante kwa ufafanuzi maendeleo yanakuja japo mdogo mdogo si haba. Tulienda enzi hizo wkt niko sekondari miaka ya 2000 palikua si pabaya ila kwa sasa pamejengeka zaidi.