Moja inaweza wheels balancing na alignments sio nzuri, ila bila shaka kuna reasons zingineHivi gari Ku vibrate ikifika gear namba 3 na 4 na 60kph unaweza kusababishwa na nn?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moja inaweza wheels balancing na alignments sio nzuri, ila bila shaka kuna reasons zingineHivi gari Ku vibrate ikifika gear namba 3 na 4 na 60kph unaweza kusababishwa na nn?
Yes.Nipo mshua, naona mwendo umeumaliza vyema
Sahihi, kabisa!!Moja inaweza wheels balancing na alignments sio nzuri, ila bila shaka kuna reasons zingine
Yah! MnyamaNaona GX-R ishafanya ya msingi
Wheels balanceHivi gari Ku vibrate ikifika gear namba 3 na 4 na 60kph unaweza kusababishwa na nn?
jamaa nilimuona Bambalaga usiku huo wa tareh 9 na grew yake walikuwa wana jimwaga sanaa karibu na meza Dj... Kuamka asub nikasikia kafwaaWale wazee wa rally watakuwa wanamjua huyu mchina dah!
Tunakumbushana tu wakati uko na mwendo lolote linaweza tokea
R.i.p Sun
Ova
View attachment 2353342View attachment 2353343View attachment 2353344View attachment 2353345
BOLDMoja inaweza wheels balancing na alignments sio nzuri, ila bila shaka kuna reasons zingine
Dar - moro road vipi ila foleni inazingua kuipata chalinze... Dar - bagamoyo road ndefu tu kwa zaidi kama ya 8km chaguo ni lako na inategemea safari yako inaanzia wapiWakuu safari ya dar to dom...kupitia huku bagamoyo au kupitia mbezi ipi iko fresh ?? Msaada
Nashukuru Sana wakuu. Na ni wapi wanafanya hiyo wheel balance ya uhakika Kwa dar?Wheels balance
Bila shaka ni Evoque. Simple, 2200cc mwonekano mzuri. Kanafaa kwenda nako kusaini contract.
Aah!! Ndefu sana sikuwa nimenote hii.Tofauti inakaribia 40km
Moro road kisanga, unafika chalinze hoi 🤠🤠Uzuri wake unaendesha kwa raha ndio maana hata umbali huuoni, sio kama Morogoro road.
Kagua pia tairi , yaezakua kuna ambayo imevimba kimtindoHivi gari Ku vibrate ikifika gear namba 3 na 4 na 60kph unaweza kusababishwa na nn?
Ya kawaida sana sema Mzungu ni mzungu tu highway limetulia.
At the Wheel wana vituo kadhaa Dar: Mikocheni, Kawe, Oysterbay, Magomeni na KamataNashukuru Sana wakuu. Na ni wapi wanafanya hiyo wheel balance ya uhakika Kwa dar?
Huyu mchina alizikiwa Dodoma au alipelekwa China kwaoRip mchina! View attachment 2355180View attachment 2355181
Sent from my Redmi Note 7 using JamiiForums mobile app