Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Pole sana mkuu, wenzio mchana huwa tunafuata sheria zote. tukifika sehemu inaruhusu kutembea unatembea kweli kweli mpaka STL inakupisha. Safari zangu zote za mwaka huu sina cheti hata kimoja na kuna sehemu za 50kph nyingi nimeosha sana uzoefu unasaidia.
Nyie ndio wale mnaokaa nyuma ya hizo Gari ambazo ziko exempted kwenye sheria za road ili wawape Back Up?
 
Kagua gari kabla ya kufanya safari.
FB_IMG_1663745708130.jpg
 
Back
Top Bottom