Yes upo right kabisa na overtaking zao zinakupa ugonjwa wa moyo, kona za iyovi ni balaa zile buses zinapokuwa zina overtake maloriYes ni vizuri kua na tahadhari ya distance maana hao jamaa WA mabus mbrake ya gafla gafla ndo zao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes upo right kabisa na overtaking zao zinakupa ugonjwa wa moyo, kona za iyovi ni balaa zile buses zinapokuwa zina overtake maloriYes ni vizuri kua na tahadhari ya distance maana hao jamaa WA mabus mbrake ya gafla gafla ndo zao.
Sio mchezo hao jamaa wakati na Kuja Moro juzi hapa sikuwa mwendo wakanikutia chalinze nikasema Leo nawasubiri watoke mbezi nione uendeshaji wao maana nishazoea napanda ndani sioni overtaking zao na uendeshaji wao aisee ni wako RAF Sana ukiwafata unaumia hapa na hapa wanakuchomekea na hawajali kitu.Yes upo right kabisa na overtaking zao zinakupa ugonjwa wa moyo, kona za iyovi ni balaa zile buses zinapokuwa zina overtake malori
Hawa ni wanachukua nafasi ya pili badala ya madereva wa ST,SU etc etc ni vurugu mno, ila ukiona bus linakuovateki wewe slow down kwa hiyo unatengeneza space kwake kuingia in case kuna incoming vehicle, ukibana ile nafasi unaweza kusukumwa nje maana upo kwenye gari ndogo ni craze mkuuSio mchezo hao jamaa wakati na Kuja Moro juzi hapa sikuwa mwendo wakanikutia chalinze nikasema Leo nawasubiri watoke mbezi nione uendeshaji wao maana nishazoea napanda ndani sioni overtaking zao na uendeshaji wao aisee ni wako RAF Sana ukiwafata unaumia hapa na hapa wanakuchomekea na hawajali kitu.
[emoji16][emoji16] alafu wakisha kupush pemben wanatembea kibati dawa yao hawa ni malori Tu.Hawa ni wanachukua nafasi ya pili badala ya madereva wa ST,SU etc etc ni vurugu mno, ila ukiona bus linakuovateki wewe slow down kwa hiyo unatengeneza space kwake kuingia in case kuna incoming vehicle, ukibana ile nafasi unaweza kusukumwa nje maana upo kwenye gari ndogo ni craze mkuu
Ni kweli mkuu mkuu ,malori ndio dawa yao[emoji16][emoji16] alafu wakisha kupush pemben wanatembea kibati dawa yao hawa ni malori Tu.
Kipande cha Kwanza hapa chimala barabara ni mbovu kama huna controll ukipishana na roli kudadeki unahama Kwa uoga maana kuna mabonde mabonde unatakiwa ukaze mikono kwenye sterling laaa sivyo[emoji95] wafanye kama wanavyo fanya hapa mikumi wanang'oa ya zamani wanaweka mpya siumepita ukaona mkuu.T1 nimeitumia jana kwa kweli kuna mabadiliko makubwa mazuri tu, kutoka tunduma hadi mbeya kile kipande kinahitaji matengenezo ikiwa ni pamoja na kuondoa tuta zote kwenye Ile highway, Inyala pass inahitaji science sio mihemko pale, Ile ajali ya yule DED mmm ilitisha maana ukiona vyuma vya magari vilivyojikunja pale ni hatari, definitely mbeya to igawa ndicho kipande kibaya mno ingawa naona wanatia viraka, Igawa to Kitonga pass ipo Safi (tuta tu ndio tatizo hasa down ya kuingialia mafinga),Kitonga Pass pale we need political will kwanza ,pili tujenge composory stop kwa vehicles zote above 5T pale pass inapoanza kushuka,hii itasaidia to slow down speed, then tujenge kama 2×Arrester ili zisaidie madereva wanapo poteza breaks waelekeze trunks zao huko(Zambia wanazo hasa unapokwenda kwenye border yake na Zimbabwe),Iyovi ipo Safi na welldone kwa kumalizia kile kipande korofi ila tuta zote zitolewe, welldone at last Mikumi National Park road inafanyiwa ukarabati, Moro to Dar hiki kipande cha 192km kipo korofi mno na traffic jam hasa malori na mabus, either tuzibiti malori yawe yanaingia Dar kwa muda maalum, hasa btn 2100 hrs to 0500hrs, yajengewe parking pale Moro kwa kusubiria muda ila yakiyobeba perishable goods, madawa yapate exempted, in general T1 its a good road now
Yes mkuu wazo zuri kuliko kutia viraka, ni vema watoe lami yote kama wanavyofanya pale mikumi national parkKipande cha Kwanza hapa chimala barabara ni mbovu kama huna controll ukipishana na roli kudadeki unahama Kwa uoga maana kuna mabonde mabonde unatakiwa ukaze mikono kwenye sterling laaa sivyo[emoji95] wafanye kama wanavyo fanya hapa mikumi wanang'oa ya zamani wanaweka mpya siumepita ukaona mkuu.
Ndio maana suspension, shocks, wheels balancing &alignment ni moja ya key factors kabla ya road tripKipande cha Kwanza hapa chimala barabara ni mbovu kama huna controll ukipishana na roli kudadeki unahama Kwa uoga maana kuna mabonde mabonde unatakiwa ukaze mikono kwenye sterling laaa sivyo[emoji95] wafanye kama wanavyo fanya hapa mikumi wanang'oa ya zamani wanaweka mpya siumepita ukaona mkuu.
Umemaliza Kila kitu mkuu malori kama yakitengewa muda WA kutembe Kwanzia muda huo ulio Taja naamini hata ajali za usiku zitapungua so during day tutapambana na hawa jamaa WA mabus Tu au wenyewe Kwa wenyewe pia magufuri alishawai kusema pale kitonga ziwekwe zile kingo ngumu za kuhimiri uzito WA magari makubwa pindi yanapofeli brakes lakini sijui liliishia wapi ule mlima ni hatari Sana watu wanauchukulia kirahisi.T1 nimeitumia jana kwa kweli kuna mabadiliko makubwa mazuri tu, kutoka tunduma hadi mbeya kile kipande kinahitaji matengenezo ikiwa ni pamoja na kuondoa tuta zote kwenye Ile highway, Inyala pass inahitaji science sio mihemko pale, Ile ajali ya yule DED mmm ilitisha maana ukiona vyuma vya magari vilivyojikunja pale ni hatari, definitely mbeya to igawa ndicho kipande kibaya mno ingawa naona wanatia viraka, Igawa to Kitonga pass ipo Safi (tuta tu ndio tatizo hasa down ya kuingialia mafinga),Kitonga Pass pale we need political will kwanza ,pili tujenge composory stop kwa vehicles zote above 5T pale pass inapoanza kushuka,hii itasaidia to slow down speed, then tujenge kama 2×Arrester ili zisaidie madereva wanapo poteza breaks waelekeze trunks zao huko(Zambia wanazo hasa unapokwenda kwenye border yake na Zimbabwe),Iyovi ipo Safi na welldone kwa kumalizia kile kipande korofi ila tuta zote zitolewe, welldone at last Mikumi National Park road inafanyiwa ukarabati, Moro to Dar hiki kipande cha 192km kipo korofi mno na traffic jam hasa malori na mabus, either tuzibiti malori yawe yanaingia Dar kwa muda maalum, hasa btn 2100 hrs to 0500hrs, yajengewe parking pale Moro kwa kusubiria muda ila yakiyobeba perishable goods, madawa yapate exempted, in general T1 its a good road now
Ni kweli mkuu kipande kibaya Chenye mabonde ni chimala to mlima WA nyonga igawa to mafinga ni fresh japo kuna viraka na mashimo ya ajabu ajabu mixer matuta usiku usipokuwa makini wanakukuta juu ya mti.Ndio maana suspension, shocks, wheels balancing &alignment ni moja ya key factors kabla ya road trip
Wenye malori ndo hao watunga sheria na wenye CCM.Umemaliza Kila kitu mkuu malori kama yakitengewa muda WA kutembe Kwanzia muda huo ulio Taja naamini hata ajali za usiku zitapungua so during day tutapambana na hawa jamaa WA mabus Tu au wenyewe Kwa wenyewe pia magufuri alishawai kusema pale kitonga ziwekwe zile kingo ngumu za kuhimiri uzito WA magari makubwa pindi yanapofeli brakes lakini sijui liliishia wapi ule mlima ni hatari Sana watu wanauchukulia kirahisi.
Kweli uendeshaji wa usiku unahitajika umakini wa hali ya juu mnoNi kweli mkuu kipande kibaya Chenye mabonde ni chimala to mlima WA nyonga igawa to mafinga ni fresh japo kuna viraka na mashimo ya ajabu ajabu mixer matuta usiku usipokuwa makini wanakukuta juu ya mti.
Nayo si gari mkuu.Wenye vitz nao wanaruhusiwa road trip?
Yes why not?,hata wa baisikeli ndio mzuri zaidi,huchafui mazingiraWenye vitz nao wanaruhusiwa road trip?
Hayo ni magema mzee, usipokuwa makini yanakutoa barabarani, na usijaribu kuovataki sehemu kama hiyoKipande cha Kwanza hapa chimala barabara ni mbovu kama huna controll ukipishana na roli kudadeki unahama Kwa uoga maana kuna mabonde mabonde unatakiwa ukaze mikono kwenye sterling laaa sivyo[emoji95] wafanye kama wanavyo fanya hapa mikumi wanang'oa ya zamani wanaweka mpya siumepita ukaona mkuu.
Ni kweli aiseee nimeona mikumi pale juzi Wana rekebisha Bola ata Kwa magari madogo kama ni gari Kwanzia Tani 4 ukiovateki lazima uhame Kwanza barabara nyembamba alafu imeliwaHayo ni magema mzee, usipokuwa makini yanakutoa barabarani, na usijaribu kuovataki sehemu kama hiyo