Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitonga ukipita na bus kunatisha.Haha basi mzee wangu anakuambia kitonga ilikuwa zamani siku hizi anaweza hata kuendesha pale huku anaongea na simu yani watu siku hizi wanapachukulia poa sana
Kitonga ni ile Ile isipokuwa kitonga ya zamani seem za kupishana zilikuwa ndogo saivi imeongezwa
Kitonga ukipita na bus kunatisha.
Ila na gari ndogo unaona kawaida sana.
Hivi mshawahi kupanda Lushoto au Upareni Suji?Nakuekewa zile kingo
Uko bado sijawaiHivi mshawahi kupanda Lushoto au Upareni Suji?
Kuna maeneo hii nchi yana hatari, kuna shemu morogoro kwa kaguru kule, nilikubali kwenda na gari siku moja tu, baada ya hapo bora nitembee au nipande punda 🤠🤠🤠Ungeona Kitonga kama kilima cha flyover ya mfugale
[emoji16][emoji75][emoji75]Kuna maeneo hii nchi yana hatari, kuna shemu morogoro kwa kaguru kule, nilikubali kwenda na gari siku moja tu, baada ya hapo bora nitembee au nipande punda [emoji1783][emoji1783][emoji1783]
Loooooo mkuu upande donkey!,safari yetu bado ni ndefu tufanye kazi guy's ya kujenga nchi hiiKuna maeneo hii nchi yana hatari, kuna shemu morogoro kwa kaguru kule, nilikubali kwenda na gari siku moja tu, baada ya hapo bora nitembee au nipande punda 🤠🤠🤠
Ndio punda au utembee 70 kwa miguu, na kuna sehemu hutoboi na gari itakuu, na ndio litakuwa jeneza na kaburi lakoLoooooo mkuu upande donkey!,safari yetu bado ni ndefu tufanye kazi guy's ya kujenga nchi hii
Upareni nimefika. Lushoto bado.Hivi mshawahi kupanda Lushoto au Upareni Suji?
RC ruvuma katishaUnyama sana.... View attachment 2366936
Daah umenikumbusha mchana nimepishana na ZX moja piruuu maeneo ya AfricanaUnyama sana.... View attachment 2366936
Froma Karatu,Makuyuni,Babati,Katesh,Singida,Shelui,Igunga,Nzega,Tinde,Shinyanga,Misungwi to the Rock City. View attachment 2366807View attachment 2366811
Mungu atusaidie! Si kwa namna hii!Unyama sana.... View attachment 2366936
Haha tozo oyeeMungu atusaidie! Si kwa namna hii!