ozigizaga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 701
- 1,703
Hapa ni meru namtumbo?We drive japanese because they can take a beating and keep goingView attachment 2391774
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ni meru namtumbo?We drive japanese because they can take a beating and keep goingView attachment 2391774
Pole sana mkuu... kilimaseara inahitaji adabu sana na usiombe kuwe kumenyesha....Niliwahi kupiga mzinga matemanga miaka ya 2012
Huku ni brownish sio greenishTravel safely mkuu,thanks kwa vipicha endelea kutupia hasa ya vijiji baada ya kupita namtumbo
Ndio mkuuHapa ni meru namtumbo?
Ntaleta full story ni kimbwangaUmepata majanga mkuu??
Ukifika songea nicheki mkuuSio kweli. Saa 6 kasoro ntakuwepo. Ndo natoka namtumbo
Nicheki ukifika mjini mkuu na pole sanaNtaleta full story ni kimbwanga
Yeeee mkuu wapo hapo?umeshaingia namtumbo?Huku ni brownish sio greenish
View attachment 2391776
Huku ni brownish sio greenish
View attachment 2391776
Ohoooo pole sana mkuu, ila uzuri ukifika namtumbo, kwenda songea ni tambarare tu,unapita mle Lwegu, kumbara, litola, namabengo, ohoo lumecha mara pap box 2 mkono wako wa kushoto...shuka shuka mfaranyakiNiliwahi kupiga mzinga matemanga miaka ya 2012
pole bossWe drive japanese because they can take a beating and keep goingView attachment 2391774
Hiyo mkuu ni miti mizuri sana na maua yake ni safi sana,inaitwa Jacaranda, wenzetu hapo SA wanayo mingi sana hasa Pretoria ndio maana wanapaita Jacaranda city, nchi hii Mungu alitupa ila imekutana na watu wa vurugu, mingi ya miti hii imekatwa hasa hapo Angoni Arms area,it's crazeView attachment 2391796
Imeisha. Hiyo miti yenye maua/majani ya purple sijawahi kuiona before. Ni nini?
They look beautifulHiyo mkuu ni miti mizuri sana na maua yake ni safi sana,inaitwa Jacaranda, wenzetu hapo SA wanayo mingi sana hasa Pretoria ndio maana wanapaita Jacaranda city, nchi hii Mungu alitupa ila imekutana na watu wa vurugu, mingi ya miti hii imekatwa hasa hapo Angoni Arms area,it's craze
Yes mkuu ,ukipita mitaa ya Pretoria wakati yamechanua mkuu utapenda sana,nakuona nawe ni mpenzi wa nature kama mimi,yaani inapendeza sana,miaka hiyo Dar nayo ilipendeza sana na miti hasa maeneo ya ocean road, ohio street, posta ya zamani, ila walipoingia New generation wakavuruga kabisaThey look beautiful
Ngoja nikafuatilie na kule mbeya nijue ile JACARANDA ya kule ilitokana na niniHiyo mkuu ni miti mizuri sana na maua yake ni safi sana,inaitwa Jacaranda, wenzetu hapo SA wanayo mingi sana hasa Pretoria ndio maana wanapaita Jacaranda city, nchi hii Mungu alitupa ila imekutana na watu wa vurugu, mingi ya miti hii imekatwa hasa hapo Angoni Arms area,it's craze
Ngoja nikafuatilie na kule mbeya nijue ile JACARANDA ya kule ilitokana na nini
Nipe location jioni mkuuNicheki ukifika mjini mkuu na pole sana