Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Travel safely mkuu,thanks kwa vipicha endelea kutupia hasa ya vijiji baada ya kupita namtumbo
Huku ni brownish sio greenish
20221019_105541.jpg
 
View attachment 2391796

Imeisha. Hiyo miti yenye maua/majani ya purple sijawahi kuiona before. Ni nini?
Hiyo mkuu ni miti mizuri sana na maua yake ni safi sana,inaitwa Jacaranda, wenzetu hapo SA wanayo mingi sana hasa Pretoria ndio maana wanapaita Jacaranda city, nchi hii Mungu alitupa ila imekutana na watu wa vurugu, mingi ya miti hii imekatwa hasa hapo Angoni Arms area,it's craze
 
Hiyo mkuu ni miti mizuri sana na maua yake ni safi sana,inaitwa Jacaranda, wenzetu hapo SA wanayo mingi sana hasa Pretoria ndio maana wanapaita Jacaranda city, nchi hii Mungu alitupa ila imekutana na watu wa vurugu, mingi ya miti hii imekatwa hasa hapo Angoni Arms area,it's craze
Ngoja nikafuatilie na kule mbeya nijue ile JACARANDA ya kule ilitokana na nini
 
Back
Top Bottom