Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Aaahahahahahahahaaaaa weeeeuweeeeeeeeeee

Utafanya watu wakifika njia panda Mombo wakate kulia kuchungulia Bataringaya na Kasie kunani 😂😂😂😂😂

View attachment 1650677

Nimejikoki hatariii 😜😜
Sipotezi pointi hata moja ahahahahahaa

View attachment 1650676

Vitendea kazi vyote vipo kamili na kuzidi, kazi kwako...🤣🤣🤣🤣🤣

K’ Matata.
..hapa bado..sioni KY gel...au kwa mpalaa huendagi....
 
Kama million 200 unaona nyingi, na hizo gari za million 200 zimezagaa barabarani basi utakuwa na ufinyu wa fikra juu ya hela.
Pls pls mkuu kuwa sensitive kwenye issue kama hizi
Na barabara yenyewe wameitengeneza kama runway ya ndege

View attachment 2454332
Hizo taa naona kama zipo pembezoni mwa barabara?au ni macho yangu?,maana zilitakiwa kuwa katikati ya barabara, kutenganisha side mbili za barabara, pembezoni wachore msitari wa yellow line, hizi taa usiku zinachanganya kama zipo pembezoni mwa barabara
 
Pls pls mkuu kuwa sensitive kwenye issue kama hizi

Hizo taa naona kama zipo pembezoni mwa barabara?au ni macho yangu?,maana zilitakiwa kuwa katikati ya barabara, kutenganisha side mbili za barabara, pembezoni wachore msitari wa yellow line, hizi taa usiku zinachanganya kama zipo pembezoni mwa barabara
Hizi ni reflector zimewekwa kwenye zile kingo za chuma zilizopo ukingoni mwa barabara kwenye madaraja na kona kali.

Za upande wako zinawaka mwanga wa njano, za opposite lane zinawaka mwanga mwekundu.

Kwa barabara hii yenye giza na isiyo na michoro zinasaidia sana kukuonyesha uelekeo wa kona na kingo kwenye madaraja

20221221_224105.jpg
 
Barabara ya Mwigumbi - Maswa - Bariadi - Lamadi imemaliza kurekebishwa imekuwa tamu mno, mojawapo ya barabara nzuri kutembea.

Ila matokeo yake ndio haya, hii ni karibu na kwa Wigelekelo, kipande kiko straight hakina tuta, kona, mawimbi wala shimo.
View attachment 2454291
Hizi Crown zitamaliza vijana
 
"Aliitoa clutch na brake" ukisikia maneno ya kijiweni ndio haya. HAIWEZEKANI KUENDESHEKA..
NASEMA HAIWEZEKANIIIIIII.
Duniani kuna vituko wallah, tambua tu hujaona yote wala kusikia yote chief. Mie nimeshuhudia na sio kuhadithiwa. Na kwa aliewahi kuendesha Landrover anaweza akawa na la kuchangia, Landrover mara nyingi zinasumbua rubber za clutch... Na inawezekana kuendesha ukianzia low mode without a clutch.
 
Mkuu kwenye hii fani ya Udereva nimegundua ukiacha aina za madereva kielimu kuna madereva wa aina hii pia

1. Madereva wa magari halisi hawa wanao ujuwa wajibu wao wakiwa na gari
2. Madereva wakokotaji wa magari yani yeye halewi kitu kuhusu gari isipokuwa kulitoa sehemu moja kulipeleka sehemu nyingine
3. Madereva wapuuziaji wa usalama wa magari yao, wao binafsi, abiria na mizigo.
Wao mara nyingi hujipa matumaini kua kila kibaya kikitokea ni bahati mbaya hivyo hawana tahadhari yoyote kwenye maisha ya udereva wao.
4. Na madereva wa midomo. Wao gari wanalijua kutokana na hadithi za mwenzie au kuona alivyo fanya mwenzie pasi na uzoefu wowote wa hilo katika madhara na wala kwa faida ya hilo jambo.


Nakumbuka kuna kiumbe siku kiliniambia eti kinanishauri ninapo kua nateremka mlimani hasa mikali niwe natumia high gear kwa sababu itanisaidia sana kwenye engine break maana gari itakuwa nzito hivyo hutatumia break nyingi.

Nikamwambia Shule uliesomea udereva Hakuna alie faulu kuliko Wewe yani.

Sasa nikashangaa kaanza kupanic na kusema kwaio unaniona mimi muongo sio haya ukipata ajali usinitafute Dah nikaona hiki ni zaidi ya kimeo

Ndio huyo gari haina break wala clutch sijui kama anajua kazi ya hiyo clutch kwenye manual transmission cars.
Turejee namba 3 yako. Ndio mfano halisi wa huyo mzee.
 
Hizi ni reflector zimewekwa kwenye zile kingo za chuma zilizopo ukingoni mwa barabara kwenye madaraja na kona kali.

Za upande wako zinawaka mwanga wa njano, za opposite lane zinawaka mwanga mwekundu.

Kwa barabara hii yenye giza na isiyo na michoro zinasaidia sana kukuonyesha uelekeo wa kona na kingo kwenye madaraja

View attachment 2454421
Barabara inaita kweli kuwasha moto[emoji28]
 
Back
Top Bottom