National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
labda alikuwa kapiga masanga huyo, kagari kana bei alafu kakapigiza kizembeKona ilimshinda au nini shida? 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
labda alikuwa kapiga masanga huyo, kagari kana bei alafu kakapigiza kizembeKona ilimshinda au nini shida? 🤣
Naomba kujua kurudishia Airbag n sensors zake ni IST ngapi tafadhali.labda alikuwa kapiga masanga huyo, kagari kana bei alafu kakapigiza kizembe
sio IST ma crown mengi tuGharama za kutengeneza hiyo Porsche hapo unanunua IST ngapi[emoji3]
hapo unapata GRS200 kadhaaa 😀😀😀Naomba kujua kurudishia Airbag n sensors zake ni IST ngapi tafadhali.
labda alikuwa kalewa, chuma hiyo hapo na hapa kisahani kimependeza.. pwaaaa.. uzuri hajachubuka hata puaSasa huyu nae central London alikuwa anafanya mbwembwe gani?
Mjapan kaitolea udenda hatariHio ni written off
Itaenda kutupwa kwenye luxury cars scrap yardHio ni written off
Pia sometimes police wa huko Dubai wanafosi wanaishi nazo hizo supercars zinazotelekezwa ndo maana Police wa Dubai wanavimba na Chuma za bei mbayaWatu wa salvage wananunua then wanauza
Hapa IST ingekatika vipande viwili!
Mmiliki hapo hana mawazo kama hayo... Anavuta chuma kingine kama hicho anatulia.Gharama za kutengeneza hiyo Porsche hapo unanunua IST ngapi[emoji3]
Bima italipa.
Gari yenyewe ya bei mbaya.... Repair cost lazima iwe kubwa.Kona ilimshinda au nini shida? 🤣! Cost of repair naomba nikae kimya
IsT mia moja zero KmNaomba kujua kurudishia Airbag n sensors zake ni IST ngapi tafadhali.
Na huo mzinga siyo poa. Kuibonda mjerumani mpaka iwe hivyo siyo mchezo.Sasa huyu nae central London alikuwa anafanya mbwembwe gani?
Unanunua gari ya bei mbaya lazima uikatie bima kubwa.Gari yenyewe ya bei mbaya.... Repair cost lazima iwe kubwa.
Hapo unawacheki tu, unawaacha wajimalize then unawakata kama wamesimama.Wanatoana jasho wote wale wale. Kuna siku niliona jamaa wa Allion anakomeshwa na IST mbele yake kila akitaka kupita IST inakaza alihangaika sana. Unakuta wote wana engine sawa au tofauti ndogo sana.