Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Road Trip yangu ya tarehe 22/12/2022 from moshi to mbamba Bay Gari Tako la nyani

Safari nilianza saa kumi na mbili asubuh.. taratibu kutoka moshi pemben kukiwa na kvaaaa kubwa na energy drink.. niliamua kupita route ya arusha.. niliingia babati mapema sana nikapata supu ya nguvu ili kvaaa isinisumbue .. maana kvaaa ukinywa bila msosi lazm ikujeruh.. baada ya kupata supu nzito nikaanza safari.. kwanza nilitaka nipite njia ya kateshi then singida mpk manyoni then nidondokee dodoma... njia hii nikaona itakuwa n ndefu sana na pia nilikuwa pekee yangu itanichosha.. nikapita njia ya short kat hapo nikawa nimefika dodoma.. aisee kvaaa inateta sana njaa dodoma pale nikapiga msosi nyama nyama.. then kama kawaida energy drink n kvaaa.. ki ukwel tako la nyani n gari la safari.. ina weakness moja tu ni gari ambalo n jepesi ukiwa speed kuna wakat nilitaman kupakia hata mawe nyuma ya gar ilitu kuongeza uzito

Dodoma nikapita mtera then iringa.. nilipofika iringa ikabid nipumzike nipate kilaji.. nikaona bora nilale kesho niendelee na safar ya kwenda mbamba bay.. pale iringa nikala nyama sana pale.. ile nimeamka asubuh tumbo linauma balaaa full kuhara aiseee dahhhh ikabid nitulie.. mchana ikabid nibadili route niende tu njombe kwa wakwe zangu wa zamani.. kaa pale njombe.. stimu za kufika mbamba Bay zikaisha nikarud zangu moshi...

Next Year lazm nifike mbamba Bay nipande meli nizunguke nyasa.. .. hii Road Trip lazm itimie..then nizunguke ruvuma nitokee dar es salaam. hakika Tako la Nyani ni Gari...

Happy New Year wadau.....
Ukiwa unaenda Mbamba Bay unistue ukaniachee Songea mjini.
 
Kuna siku tulikua tunasafiri kuelekea kanda ya kusini na Noah voxy letu ikiwa bado mpya mpya [emoji28][emoji28]

Tumetoka hotelini kula tunaingia road tuendelee na safari kuna jamaa nae Ana V8 alikua hapo hotelini pia so wakati sisi tunatoka na yeye akawa anatoka yuko nyuma yetu tumeenda mbele kidogo akakaa kulia akatuchana

Nikamwambia mwanangu tujaribu ligi na V8 hiyo aah ni kama tulikua tunajitekenya na kucheka wenyewe tuliaibishwa vibaya mno Ile chuma ilipotea mbele ya upeo wa macho yetu ndani ya muda mchache sana tukabaki tunacheka tu [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] V8 unyamaaa sanaaaa.
 
Dar-Ira naanza kuzikata taratibu
 

Attachments

  • PXL_20230105_045535954.jpg
    PXL_20230105_045535954.jpg
    632.9 KB · Views: 20
Kuna siku tulikua tunasafiri kuelekea kanda ya kusini na Noah voxy letu ikiwa bado mpya mpya [emoji28][emoji28]

Tumetoka hotelini kula tunaingia road tuendelee na safari kuna jamaa nae Ana V8 alikua hapo hotelini pia so wakati sisi tunatoka na yeye akawa anatoka yuko nyuma yetu tumeenda mbele kidogo akakaa kulia akatuchana

Nikamwambia mwanangu tujaribu ligi na V8 hiyo aah ni kama tulikua tunajitekenya na kucheka wenyewe tuliaibishwa vibaya mno Ile chuma ilipotea mbele ya upeo wa macho yetu ndani ya muda mchache sana tukabaki tunacheka tu [emoji23]
Nilimfanyia mtu roho mbaya juzi hapa. Crown nyeupe DYA barabara ya Babati - Dom. Kanikuta naovertake lori kanikalia kooni nimpishe nikasogea mdogo mdogo akasepa kwa jeuri.
Wakati huo nimejisahau kujaza mafuta Babati na sikuwa na uhakika sheli itapatikana wapi, so mdogo mdogo ndo mwendo maana ligi bila wese ni maumivu.

Nimefika Kondoa nikajaza mafuta, jamaa alikuwa amekaa round about kushoto kapaki. Alivyoniona nimepita akaingia kwa nguvu barabarani anifukuzie, mimi nilimkumbuka nikammonitor kwenye side mirror. Barabara yenyewe haina magari huwezi kumsahau mtu.

Kanifikia mpaka kwenye bumper kaanza kuniwashia mataa, ikabidi nimpe anachokihitaji.

Mlima wa kwanza wa pili, mtu hayupo kwenye side mirror. Kitendo cha dakika kama mbili maximum. Milima ile niliigeuza tambarare napanda na 180 ni limiter tu mshale haushuki chini.

Baada ya kuhakikisha haonekani kabisa, nikarudi mwendo wangu wa 100 - 120, aliponifikia nikamwacha maana alikuwa hapoi, ila nilihakikisha ujumbe ameupata. Hata kama nina budget mafuta usinifanyie dharau.
 
Nilimfanyia mtu roho mbaya juzi hapa. Crown nyeupe DYA barabara ya Babati - Dom. Kanikuta naovertake lori kanikalia kooni nimpishe nikasogea mdogo mdogo akasepa kwa jeuri.
Wakati huo nimejisahau kujaza mafuta Babati na sikuwa na uhakika sheli itapatikana wapi, so mdogo mdogo ndo mwendo maana ligi bila wese ni maumivu.

Nimefika Kondoa nikajaza mafuta, jamaa alikuwa amekaa round about kushoto kapaki. Alivyoniona nimepita akaingia kwa nguvu barabarani anifukuzie, mimi nilimkumbuka nikammonitor kwenye side mirror. Barabara yenyewe haina magari huwezi kumsahau mtu.

Kanifikia mpaka kwenye bumper kaanza kuniwashia mataa, ikabidi nimpe anachokihitaji.

Mlima wa kwanza wa pili, mtu hayupo kwenye side mirror. Kitendo cha dakika kama mbili maximum. Milima ile niliigeuza tambarare napanda na 180 ni limiter tu mshale haushuki chini.

Baada ya kuhakikisha haonekani kabisa, nikarudi mwendo wangu wa 100 - 120, aliponifikia nikamwacha maana alikuwa hapoi, ila nilihakikisha ujumbe ameupata. Hata kama nina budget mafuta usinifanyie dharau.
Mlima wa kwanza, wapili mtu hayupo kwenye side mirror [emoji23]
 
Back
Top Bottom