Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Sio salama mkuu kupiga vyombobaridi ya Makambako.
don't drink and drive.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2488971
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio salama mkuu kupiga vyombobaridi ya Makambako.
don't drink and drive.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2488971
Wazee wa Border to borderView attachment 2488998
Hiki chuma Kinapiga masafa vibaya nani amekutana nacho road.
Iko sawa hiyoHio temperature vipi?
Inabugia ukiikamua ila highyway inapiga 10 kwa litaFuel consumption ya vista ipoje ?
Google map kwenye option ya timelineMzee app gan hii
Yeah mkuu,maana ni uzi pekee unaopata latest informations kuhusiana na road trips, binafsi lazima niupitie almost kila siku, wanaosafiri kati ya nakonde na kapiri...du hii sehemu ya bwawa la samaki inatisha, wametia kifusi,ila pls pls pls kuanzia serenje hadi chinsali pita mchana tu, narudia tena pita mchana tu, usiku it's a NoAtatumiss atakuja. Huu uzi hata ukiusahau, siku ukiwa unapiga trip utaukumbuka
Straight waswanu kula changamoto au sio?Dom to Kilosa this morning! View attachment 2489706
Kuna mdada member wa hii thread jina limenitoka kapotea sana. Jina lake wengi walikuwa wanafikiri ni me. Recently alinunua IST sijui yuko wapi?
ISO M.CodD Saint Anne
Hatari mzee [emoji16]Straight waswanu kula changamoto au sio?
Yeaaah finalist dear cc, [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Aahh finalist nini
Hizo Crown sio nyingi sana kati ya hizo gari tatu ulizotaja. Crown watu wengi wanagundua waliingia chaka kuyanunua kwa hiyo wanaishia kuyapark tu au kutoka nayo siku moja moja. IST na Harrier ni hatari hapa mjini.Sio nyingi kama Crown IST na Harrier.