Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hili chuma ni part ya gari au sehemu ya kingo za barabara?
IMG_20230217_085013.jpg
 
M naona kama ni kingo ya barabara
Ajali mbaya sana hii wale wanaomini Mungu ni vyema kumuomba Mungu atulinde na kutuepusha na hizi balaa za barabarani na kwingineko, hatari sana hii.

Fikiria hawa waliopata ajali aisee kifo ni fumbo gumu unaamka fresh baada ya muda taarifa mbaya zinakuja daah!! Unaweza ukawa makini na kuchukua tahadhari zote ukasababishiwa na driver mwingine.

Ni Mungu tu anaeweza kutunusuru.
 
Ajali mbaya sana hii wale wanaomini Mungu ni vyema kumuomba Mungu atulinde na kutuepusha na hizi balaa za barabarani na kwingineko, hatari sana hii.

Fikiria hawa waliopata ajali aisee kifo ni fumbo gumu unaamka fresh baada ya muda taarifa mbaya zinakuja daah!! Unaweza ukawa makini na kuchukua tahadhari zote ukasababishiwa na driver mwingine.

Ni Mungu tu anaeweza kutunusuru.
Ni kweli kabisa..... tusiache kumtanguliza Mungu zen tahadhar ichukue nafasi yake
 
Back
Top Bottom