Wazee wa β€˜Road Trip’ mpo?

Wazee wa β€˜Road Trip’ mpo?

Aisee....


Aaabeeeh Baba Taibali....πŸ€ͺπŸ€ͺπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Hi!guys miss u a lot!
 

Attachments

  • IMG_0011.jpeg
    IMG_0011.jpeg
    278.3 KB · Views: 13
Ailaaavuuuyuuuu duraivingii....🀩🀩🀩

Me in love with cars, but not VolksW..... (no offence pls).

Amu inilavuu with Nissan Patroli Nyeupe halafu iwe tinted kote uweeeeh....πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹.

Jokes aside, nice view while driving.
😍😍😍
Ailaavuyu laving mai duraivingii...
Huyu mnyama sio VW, hata Wamaasai wanamjua , ni namba chafu

1718495091408.png
 
😍😍😍
Ailaavuyu laving mai duraivingii...
Huyu mnyama sio VW, hata Wamaasai wanamjua , ni namba chafu

View attachment 3018369


Uuweeeh.....!! Basi nimekubali kuwa msoma ramani kwenye safari zako πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺ.

Uniruhusu tuu kula mabungo kwenye gari sina garama. Na mabungo nakuja nayo mwenyewe...πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹.

Halafu unirudishe nyumbani kabla ya saa 12 jioni...😜😜😜.

Halafu kwenye kidroo cha gari uwekamo chokoleti mweeh mweeeh.....!!!!🀩🀩🀩.
 
Moro saa 4 Asubuhi
Ingeeleweka zaidi ungesema muda ulitoka Dar na muda uliofika Moro wakati unaenda, na muda uliotoka Moro na muda uliofika Dar wakati unarudi.

Kwa mfano kama ulitumia masaa 5Β½ njia hiyo mchana kweupe maana yake ulifuata sheria zote, especially ku overtake kwenye mistari. Hapo utatoboa. Otherwise mkuu ulikuwa na bahati sana. Hiyo njia ina traps nyingi sana za traffic.
 
Mida gani ulipita barabara ya Msamvu - Dar? Mkuu ni muujiza huo unaouzungumzia
Mkuu huwa sisimamishwi kutoka Dar-Dodoma au Dar-Moshi. Sina kumbukumbu ya kusimamishwa trip zangu mbili za mwisho mikoa hio.
 
Ingeeleweka zaidi ungesema muda ulitoka Dar na muda uliofika Moro wakati unaenda, na muda uliotoka Moro na muda uliofika Dar wakati unarudi.

Kwa mfano kama ulitumia masaa 5Β½ njia hiyo mchana kweupe maana yake ulifuata sheria zote, especially ku overtake kwenye mistari. Hapo utatoboa. Otherwise mkuu ulikuwa na bahati sana. Hiyo njia ina traps nyingi sana za traffic.
Ndio nifanyavyo mimi. Natii sheria zote. Nafuatq mistari na 50kph naziheshimu.
 
Back
Top Bottom