and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Miaka ya nyuma sana, ndani nilikuta kitabu , kile kitabu kiliandikwa kama mashairi flani na wazee wa kiislamu wakiomba Sadam Hussein aliyekuwa rais wa Iraq anyongwe.Ndio maana ikaitwa ni shirki.
Kwasababu kuna kitu nje ya dini unakifanya japo unatumia maandiko yake.
Albadiri ipo mzee sema tu ule ni ushirikina au uchawi.....na inategemea kwa unaemwendea amajipangaje kwa mashambulizi.Hakuna cha albadiri wala albajoto mimi ni muislamu na nimechukizwa sana na hichi kitendo ila kusema ukweli izo dua za albadiri sijui albajoto hamna lolote zaidi ya watu kufanya ushirikina tu
Muislamu wa kweli anoijua vizuri dini yake hafanyi huo upuuzi
Vyovyote vile, iwe ushirikina ama ushirikiano muhimu wahusika wakione cha motoSio kweli hmna chochote ni ushirikina tu kma wengine wanavoenda kwa waganga
Hayo maneno ya Albadiri yanapatikana wapi?Albadiri ipo mzee sema tu ule ni ushirikina au uchawi.....na inategemea kwa unaemwendea amajipangaje kwa mashambulizi.
Itakuwa wewe ni mtekajiDua ya kuku ?
Hakuna kitu kama hicho , ukiamini ujinga utahisi kama umekupataAlbadiri ipo mzee sema tu ule ni ushirikina au uchawi.....na inategemea kwa unaemwendea amajipangaje kwa mashambulizi.
Wallah Mkuu, siwezi kuweka kila kitu open kwa sababu nina verification identity, amini ninachokuambia. Usijichanganye ukakutana na Wajuvi wa mambo utaniambia na ushahidi upo maeneo ya kwetu huku Makumbusho viliibiwa vifaa vya Salon ya kike likawekwa tangazo kama kutoa taarifaMkuu kesho kutwa hapa tu natimiza miaka 40 , hizi stories za chai kwenye dini hata mimi nilikua maarufu
Hakusoma Albadiri, albadiri haipoInafanya kazi endapo ukionewa ,kuna bodaboda walichoma gari ya mpemba moto aisee ni noma bodaboda waliiona ngondoigwa walipukutika wote kila siku walikuwa wanakula "BUYU" mmoja baada ya mmoja.
KUna jamaa yangu alikuwa na duka sehemu flani hivi akavamiwa majambazi yamamuibia fedha ,jamaa akaenda kuwapiga tego la ndizi aiseee walipukutika wote.
Kuna watu wanakataa haya mambo wanajisifu kabisaa kwamba wao hawagusiki nawaangalia naaamua kunyamaza ,kuna watu tumeona makubwa dunia hii hiyo ya ndizi inafanana na jani la mkonge lile ndio baya kuliko kwa sababu hata kama sio mshirikina unamaliza ukoo mzima kwa afya ya jamii sitaweka yote hapaInafanya kazi endapo ukionewa ,kuna bodaboda walichoma gari ya mpemba moto aisee ni noma bodaboda waliiona ngondoigwa walipukutika wote kila siku walikuwa wanakula "BUYU" mmoja baada ya mmoja.
KUna jamaa yangu alikuwa na duka sehemu flani hivi akavamiwa majambazi yamamuibia fedha ,jamaa akaenda kuwapiga tego la ndizi aiseee walipukutika wote.
Mkuu kwa umri wangu na mambo niliyoshuhudia haya mambo ni stories tu hayana maana.Wallah Mkuu, siwezi kuweka kila kitu open kwa sababu nina verification identity, amini ninachokuambia. Usijichanganye ukakutana na Wajuvi wa mambo utaniambia na ushahidi upo maeneo ya kwetu huku Makumbusho viliibiwa vifaa vya Salon ya kike likawekwa tangazo kama kutoa taarifa
Kaa kimya, usiongee na kubisha usilolijua 😊Hamna kitu
Kuna watu wanakataa haya mambo wanajisifu kabisaa kwamba wao hawagusiki nawaangalia naaamua kunyamaza ,kuna watu tumeona makubwa dunia hii hiyo ya ndizi inafanana na jani la mkonge lile ndio baya kuliko kwa sababu hata kama sio mshirikina unamaliza ukoo mzima kwa afya ya jamii sitaweka yote hapa
Uzee au maradhiHakuna kitu linaitwa Albadri ni usanii tuu kama KURJUANI ya Magoma.LYATONGA MREMA alisomewa za kutosha lakini alidunda mpaka alipofariki kwa uzee
kuna kipindi fulani kuna watu nawajua waliiba vito vya thamani ..na mm siri nikiijua .wakaitwa hao mashehe kusoma albadiri .mpk leo wale watu wanadunda tu hakuna cha uchizi au kufa ..toka pale sikuamini kitu..na wote tulilambishwa dawa hola hakuna alodhurika nawez na nawajuaSio kweli hmna chochote ni ushirikina tu kma wengine wanavoenda kwa waganga
Quran ni kitabu cha mwongozo na rehema kwa wanadamu wote, na haifundishi uhasama, laana, au kumtakia kifo mtu mwingine. Badala yake, inasisitiza juu ya huruma, msamaha, na haki.Wewe huwa ni Mstaarabu na Muelewa katika Dini hupaswi kuuliza swali kama hilo....kuna haya katika Quran inayohusu kumsomea Mtu Kifo?
Twende taratibu
Nitachangia mahitaji YoyoteKutoka Tanga inaripotiwa kuwa wazee wa Tanga wamepanga kusoma dua ya kushitakia almaarufu kama albadil kwa walioshiriki kumuua mzee mwenzao Alli Mohamed Kibao.
Watakaosomewa duwa hiyo ni wale waliopanga njama za maauaji,walioshiriki kumteka,waliomuua,waliofahamu mpango mzima wa mauaji hayo,nk
Kwenye suala la duwa ukiondoa wazee wa Pemba basi wanafuata wazee wa Tanga
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Kamanda lema Atashughulikia kwa upande huo!Waende Arusha Kuna wazee wa kimasai wanavunja chungu. Watu watadondoka kama kumbi kumbi. Turogane tu hakuna namna