min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Kidogo nyie watu wa karma mnaweza nishawishi🤔'What you sow you shall reap '
I believe in karma . KIBAO lazima aondoke na watu wengi nyuma yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kidogo nyie watu wa karma mnaweza nishawishi🤔'What you sow you shall reap '
I believe in karma . KIBAO lazima aondoke na watu wengi nyuma yake
Huijui dini ya kiislam.. Kaa kimya, sio haya ni "Aya"Wewe huwa ni Mstaarabu na Muelewa katika Dini hupaswi kuuliza swali kama hilo....kuna haya katika Quran inayohusu kumsomea Mtu Kifo?
Twende taratibu
Kidogo nyie watu wa karma mnaweza nishawishi🤔'What you sow you shall reap '
I believe in karma . KIBAO lazima aondoke na watu wengi nyuma yake
Sio Albadiri, ni Al-badr... Na hakuna duniani aliyewahi kusomewa na atakayesomewa akapona na hiko kikombe... Haina kujipanga au kutojipanga!Albadiri ipo mzee sema tu ule ni ushirikina au uchawi.....na inategemea kwa unaemwendea amajipangaje kwa mashambulizi.
🤣🤣🤣DuhDua yenyewe ni uchafu itachaguaje msafi?
Albadiri ni dua chafu hivyo haichagui msomaji.
Ni mjuaji anayejua ndiye anayesoma albadir wala si usafi wa nafsi.
Mimi nabisha ninachokijua, wewe ndio ufunge mdomo, Albdiri ni USHIRIKINAKaa kimya, usiongee na kubisha usilolijua 😊
Sawa, hayo maneno ya Albadir anayosomewa Mtu ili awe kichaa au afe yanatoka wapi?Quran ni kitabu cha mwongozo na rehema kwa wanadamu wote, na haifundishi uhasama, laana, au kumtakia kifo mtu mwingine. Badala yake, inasisitiza juu ya huruma, msamaha, na haki.
Hahaa sijui waliishia wapi lile suala lake la 2021vipi Afande Sele
Acha kupoteza nguvu yako kumwelewesha mtu mjinga kwa mapenzi ili asije akadanganyika akayakanyaga.Wallah Mkuu, siwezi kuweka kila kitu open kwa sababu nina verification identity, amini ninachokuambia. Usijichanganye ukakutana na Wajuvi wa mambo utaniambia na ushahidi upo maeneo ya kwetu huku Makumbusho viliibiwa vifaa vya Salon ya kike likawekwa tangazo kama kutoa taarifa
Kidogo nyie watu wa karma mnaweza nishawishi🤔
criteria ya kuyakanyaga ni ipi?Acha kupoteza nguvu yako kumwelewesha mtu mjinga kwa mapenzi ili asije akadanganyika akayakanyaga.
Acha Ukafiri we ngumbaru, weka hapa hiyo Aya anayosomewa Mtu awe kichaa au afe...Huijui dini ya kiislam.. Kaa kimya, sio haya ni "Aya"
Usiyaongelee usiyoyajua... Ambayo hayakulikani hayatakiwi kujulikana kabisa!
Siku tu yakanyage wakutengeneze alafu ndo utaelewa
Sio kweli hmna chochote ni ushirikina tu kma wengine wanavoenda kwa waganga
Mkuu King Kong III umenikumbusha kisa hapo kwa Mke wa Mpemba. Mpemba alikuwa ni Mvuvi anaweza akaondoka hata mwezi nyumbani kwake ni maeneo ya Buguruni tu pale. Alikuwa na mke mkali sana yaani Demu pisi ya maana kuna Jamaa yangu alitumia njia anazozijua mpaka aka.tongoza yule Mwanamke akaingia kwenye line. Siku ya kula mzigo Jamaa tulikuwa naye bar fulani akampigia yule Mke wa Mpemba akaja pale Bar kwa bodaboda jamaa akalipia 2000 ya boda, akaniagizia chipsi kuku nusu nikanywa na bia mbili, Mwanamke akala chipsi mayai na redbul na kuna jamaa mwingine tulikuwa naye akanywa pepsi na ugali nyama choma na Mshikaji alikuwa amelipia room 35,000 kutokana na muonekano wa yule Mwanamke. Walipoondoka kwenda lodge jamaa kwa mujibu wake alipo mvua tu nguo na alipoliona apple stimu zote zilikata na mnara ukarudi 0 G tena. Jamaa alilaumu ametoboka hela kibao. Na mashine jamaa iligoma kusimama kama miezi mitatu tena kwa kuhangaika sana kwa waganga ndio ikaamka tena. Usicheze na mke wa mpembaHatari ni noma ,ogopa wapemba ni hatari kwa hayo mambo...Kama hawaamini wamle mke wa mpemba.
Kamtie mke wa Mpemba, Muhindu, Mwarabu au Mtanga... Uone kama tutakuona tena hapa JF, labda ukija uwe ushakuwa SHOGA!Mkuu kwa umri wangu na mambo niliyoshuhudia haya mambo ni stories tu hayana maana.
Acha kuchafua Dini ya Hakhi...hii ni sawa na kujamba ndani ya kanzu baada ya kulipuliza marashi laadhim kutoka Dubei SheikhAcha kupoteza nguvu yako kumwelewesha mtu mjinga kwa mapenzi ili asije akadanganyika akayakanyaga.
Watakan...kata...atamroga sio kumsomea Al badirKamtie mke wa Mpemba, Muhindu, Mwarabu au Mtanga... Uone kama tutakuona tena hapa JF, labda ukija uwe ushakuwa SHOGA!