Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Ali Mohamed Kibao

Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Ali Mohamed Kibao

Wewe huwa ni Mstaarabu na Muelewa katika Dini hupaswi kuuliza swali kama hilo....kuna haya katika Quran inayohusu kumsomea Mtu Kifo?

Twende taratibu
Huijui dini ya kiislam.. Kaa kimya, sio haya ni "Aya"

Usiyaongelee usiyoyajua... Ambayo hayakulikani hayatakiwi kujulikana kabisa!

Siku tu yakanyage wakutengeneze alafu ndo utaelewa
 
Albadiri ipo mzee sema tu ule ni ushirikina au uchawi.....na inategemea kwa unaemwendea amajipangaje kwa mashambulizi.
Sio Albadiri, ni Al-badr... Na hakuna duniani aliyewahi kusomewa na atakayesomewa akapona na hiko kikombe... Haina kujipanga au kutojipanga!


USITHUBUTU UKAYAKANYAGA WAKAKUSOMEA HIYO. UTAKUWA UMEYATOA MAISHA YAKO SWADAKA YA BURE KABISA ISIYO NA MALIPO
 
Quran ni kitabu cha mwongozo na rehema kwa wanadamu wote, na haifundishi uhasama, laana, au kumtakia kifo mtu mwingine. Badala yake, inasisitiza juu ya huruma, msamaha, na haki.
Sawa, hayo maneno ya Albadir anayosomewa Mtu ili awe kichaa au afe yanatoka wapi?
 
Wallah Mkuu, siwezi kuweka kila kitu open kwa sababu nina verification identity, amini ninachokuambia. Usijichanganye ukakutana na Wajuvi wa mambo utaniambia na ushahidi upo maeneo ya kwetu huku Makumbusho viliibiwa vifaa vya Salon ya kike likawekwa tangazo kama kutoa taarifa
Acha kupoteza nguvu yako kumwelewesha mtu mjinga kwa mapenzi ili asije akadanganyika akayakanyaga.
 
Huijui dini ya kiislam.. Kaa kimya, sio haya ni "Aya"

Usiyaongelee usiyoyajua... Ambayo hayakulikani hayatakiwi kujulikana kabisa!

Siku tu yakanyage wakutengeneze alafu ndo utaelewa
Acha Ukafiri we ngumbaru, weka hapa hiyo Aya anayosomewa Mtu awe kichaa au afe...

ZINGATIO : Hiyo Aya itoke ndani ya Quran
 
Sio kweli hmna chochote ni ushirikina tu kma wengine wanavoenda kwa waganga


Kuua kwa bunduki ya mzungu sio ushirikina ila kumuua aliyeua kwa bunduki ya mzungu kwa kumshitakia kwa miungu ya asili ya binadamu ni ushirikina .


Kumuua muuaji ni kisasi cha haki.
Kisasi ni jambo la hekima na busara kubwa ili kuikomesha uovu.

Kisasi ni msingi wa haki .

Wale wauaji ni muhimu nao kuuawa kwa namna yoyote ile au kutiwa ukichaa au kumaliza familia zao kwa namna yoyote alimradi ni kisasi kinacholipizwa kwa matendo yao maovu.

CCM walishasema wao hakuna Mungu akipenda kwa hiyo kuwasomea Albadiri ni halali na ni njia bora ya kulipiza kisasi baada ya serikali kushindwa kuwalipia kisasi ndugu na marafiki wa marehemu.

Wakifanikiwa itakua ni suluhu njema na tutawacha na tutawachangia hao majaji wa asili kuliko hawa majaji wa kizungu na vyombo vyao vya dola vinavyowakingia kifua wauaji.
 
Hatari ni noma ,ogopa wapemba ni hatari kwa hayo mambo...Kama hawaamini wamle mke wa mpemba.
Mkuu King Kong III umenikumbusha kisa hapo kwa Mke wa Mpemba. Mpemba alikuwa ni Mvuvi anaweza akaondoka hata mwezi nyumbani kwake ni maeneo ya Buguruni tu pale. Alikuwa na mke mkali sana yaani Demu pisi ya maana kuna Jamaa yangu alitumia njia anazozijua mpaka aka.tongoza yule Mwanamke akaingia kwenye line. Siku ya kula mzigo Jamaa tulikuwa naye bar fulani akampigia yule Mke wa Mpemba akaja pale Bar kwa bodaboda jamaa akalipia 2000 ya boda, akaniagizia chipsi kuku nusu nikanywa na bia mbili, Mwanamke akala chipsi mayai na redbul na kuna jamaa mwingine tulikuwa naye akanywa pepsi na ugali nyama choma na Mshikaji alikuwa amelipia room 35,000 kutokana na muonekano wa yule Mwanamke. Walipoondoka kwenda lodge jamaa kwa mujibu wake alipo mvua tu nguo na alipoliona apple stimu zote zilikata na mnara ukarudi 0 G tena. Jamaa alilaumu ametoboka hela kibao. Na mashine jamaa iligoma kusimama kama miezi mitatu tena kwa kuhangaika sana kwa waganga ndio ikaamka tena. Usicheze na mke wa mpemba
 
Acha kupoteza nguvu yako kumwelewesha mtu mjinga kwa mapenzi ili asije akadanganyika akayakanyaga.
Acha kuchafua Dini ya Hakhi...hii ni sawa na kujamba ndani ya kanzu baada ya kulipuliza marashi laadhim kutoka Dubei Sheikh
 
Kamtie mke wa Mpemba, Muhindu, Mwarabu au Mtanga... Uone kama tutakuona tena hapa JF, labda ukija uwe ushakuwa SHOGA!
Watakan...kata...atamroga sio kumsomea Al badir

Wacha maneno, weka muziki....weka Aya ya Albadir hapa

ZINGATIO : Aya hiyo itoke ndani ya Quran
 
Back
Top Bottom