Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
lakini si wanatoa kwenye kitabu kitakatifu cha waislamu? Ama?Sio kweli hmna chochote ni ushirikina tu kma wengine wanavoenda kwa waganga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lakini si wanatoa kwenye kitabu kitakatifu cha waislamu? Ama?Sio kweli hmna chochote ni ushirikina tu kma wengine wanavoenda kwa waganga
SawaUtaondoka tu muda si mrefu
Sijui !!!lakini si wanatoa kwenye kitabu kitakatifu cha waislamu? Ama?
Naona kama sipaswi kukujibu hoja yakoKamtie mke wa Mpemba, Muhindu, Mwarabu au Mtanga... Uone kama tutakuona tena hapa JF, labda ukija uwe ushakuwa SHOGA!
AtheistAre you PAGAN (God non beliver)?
Ila kama inafanya kazi naona Albadiri isomwe tu ili waovu wapate haki yao. Hata kama kuna mshirikina mwenye uhakika na kazi yake tupo tayari kumlipa ili mradi waliofanya unyama wakione cha moto. Pata picha ni baba yako kashushwa kwenye basi ili kwenda kuuliwa? Ungejisikiaje? Binafsi kuna mama jirani alimlaza mama yangu selo kwa ugomvi wao hadi leo sijawahi samehe... Mama yangu na huyo mama washasameheana kitambo mno na ni marafiki ila mimi nimemtakia mama yangu mimi nitaendelea kumchukia huyo rafiki bila kujali kuwa wamepatana. Mzazi anauma mno.Hakuna cha albadiri wala albajoto mimi ni muislamu na nimechukizwa sana na hichi kitendo ila kusema ukweli izo dua za albadiri sijui albajoto hamna lolote zaidi ya watu kufanya ushirikina tu
Muislamu wa kweli anoijua vizuri dini yake hafanyi huo upuuzi
anatoa nini?Sijui !!!
ila kwani yule kiboko ya wachawi si anatoa kwenye kitabu cha wakristo ama?
Sijuianatoa nini?
mimi ni mwenyeji wa kusini kwahiyo naijua iringa, njombe, makete..e.t.c kusema ukweli kule kwenye swala la kumtoa mtu roho kishirikina kwa watu wauaji kama hao ni rahisi sana haipiti wiki mnaanza kuokota watu walioshiriki. Sijajua kwa upande wa Tanga kitu ikisomwa leo itachukua muda gani tuone matokeo.Niliwahi kuambiwa kuwa huko Makete, mtu akidhulumiwa uhai au mali yake, kuna mtu alikuwa akiitwa Mwakipande. Inagongwa tu kengele, idadi ya milio ya kengele ndiyo idadi ya watakaohitimisha safari yao ya Duniani.
KUle unaambiwa, hata ungetaka wote iwe siku moja, wao mpaka hata wana wa wana wao wanatoweka. Lakini kuhusisha ndugu ambao pengine hawana hata habari kuwa ndugu yao, baba yao, kaka au mdogo wao amekuwa mtekaji na muuaji, siyo jambo jema.
Fikra ya haya yote ya kudai kisasi kwa watekaji na wauaji, yanasababishwa na Serikali, kuwakumbatia mashetani.
Hiyo albadir inakuwa na nguvu hiyo kweli au ndio imani hizi hizi za kulishana upepo?Kutoka Tanga inaripotiwa kuwa wazee wa Tanga wamepanga kusoma dua ya kushitakia almaarufu kama albadil kwa walioshiriki kumuua mzee mwenzao Alli Mohamed Kibao.
Watakaosomewa duwa hiyo ni wale waliopanga njama za maauaji,walioshiriki kumteka,waliomuua,waliofahamu mpango mzima wa mauaji hayo,nk
Kwenye suala la duwa ukiondoa wazee wa Pemba basi wanafuata wazee wa Tanga
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Hizi story nazifananisha na ile story ya vita vya majimaji kuwa risasi zitageuka kuwa maji. Nasikia kipigo walipata wahehe hakijawahi kutokea. Sijawahi kuamini huo utapeli.Jidanganye,kuna baadhi ya vichaa humu mitaani ni matokeo ya albadir
Na kumuua binadamu kabla ya siku zake sio ushirikina?Albadiri ni ushirikina
Naomba kujuzwa,huo ushirikina unaousema huwa unaletaga matokeo chanya??Hakuna cha albadiri wala albajoto mimi ni muislamu na nimechukizwa sana na hichi kitendo ila kusema ukweli izo dua za albadiri sijui albajoto hamna lolote zaidi ya watu kufanya ushirikina tu
Muislamu wa kweli anoijua vizuri dini yake hafanyi huo upuuzi
🧘♂️🧘♂️🧘♂️ practice meditationAtheist
Hiyo kitu ilifagia majambazi walikufa kama kuku mwenye kideriJidanganye,kuna baadhi ya vichaa humu mitaani ni matokeo ya albadir
Hiyo haina masihara huwa haikosei kama atakayeisoma ni kweli ni mtaalamu achilia mbali na matapeli wa mjini wanaojifanya wanaijua kuisoma ili wapige hela.Hiyo albadir inakuwa na nguvu hiyo kweli au ndio imani hizi hizi za kulishana upepo?
Mimi ni guruu kwenye hilo😆🧘♂️🧘♂️🧘♂️ practice meditation
Hamna kitu, utapeli mtupu.Hiyo haina masihara huwa haikosei kama atakayeisoma ni kweli ni mtaalamu achilia mbali na matapeli wa mjini wanaojifanya wanaijua kuisoma ili wapige hela.
Hiyo ni tofauti kabisa na mambo ya tunguri yenyewe inatenda haki kwa kumchagua kila aliyehusika na jambo ambalo limenuiwa na ikitumwa hairudi nyuma na haina tiba.
Ndio tunautaka huo ushirikina. Huo mnyororo wote ukaokote makopo. Walioua na kupanga njama. Kwa tanga, jamaa wameingia cha kikeHakuna cha albadiri wala albajoto mimi ni muislamu na nimechukizwa sana na hichi kitendo ila kusema ukweli izo dua za albadiri sijui albajoto hamna lolote zaidi ya watu kufanya ushirikina tu
Muislamu wa kweli anoijua vizuri dini yake hafanyi huo upuuzi