Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona kutwa baadhi ya wapemba na waunguja kutwa wanaimba Wimbo kuwa huu muungano dhulumati na wizi mtupu Tanganyika inaibia Zanzibar na Pemba si waporomoshe alubadiri uvunjikeHujaelewa maana ya Albadiri kumbe ndio maana unauliza maswali ya aina hiyo.
Albadir huwa haisomwi hovyo hovyo kama kununua Soda dukani huwa unamsomea mtu pale inapothibitika amekufanyia uovu uliokithiri na ukimsomea mtu kwa kumsingizia kosa inakurudia mwenyewe sasa kwenye ishu ya Muungano tulikubaliana wote tuungane hakuna mwenye kosa hapo utamsomea nani sasa
Hamna chochote ila akitaka Allah linaweza kutokea lolote lileNaomba kujuzwa,huo ushirikina unaousema huwa unaletaga matokeo chanya??
Kumekucha !Albadir Kurjuaan ni Hatari sana !Kutoka Tanga inaripotiwa kuwa wazee wa Tanga wamepanga kusoma dua ya kushitakia almaarufu kama albadil kwa walioshiriki kumuua mzee mwenzao Alli Mohamed Kibao.
Watakaosomewa duwa hiyo ni wale waliopanga njama za maauaji,walioshiriki kumteka,waliomuua,waliofahamu mpango mzima wa mauaji hayo,nk
Kwenye suala la duwa ukiondoa wazee wa Pemba basi wanafuata wazee wa Tanga
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Hhhhhhhh uchawi ungekua unfnya kazi kma unavoamini coastal union angekua bingwa kila msimuNdio tunautaka huo ushirikina. Huo mnyororo wote ukaokote makopo. Walioua na kupanga njama. Kwa tanga, jamaa wameingia cha kike
Muungano kaunganisha nyerere na karume sasa utamsomea nani hiyo duwaSasa mbona kutwa baadhi ya wapemba na waunguja kutwa wanaimba Wimbo kuwa huu muungano dhulumati na wizi mtupu Tanganyika inaibia Zanzibar na Pemba si waporomoshe alubadiri uvunjike
Mvivu wa marekani na mvivu wa bongo mateso yao hayafanani.Ugumu wa maisha upi? Ukiwa mvivu lazima upate ugumu
Mkuu ushafika au unacheki kwenye movie😆Mvivu wa marekani na mvivu wa bongo mateso yao hayafanani.
Mvivu wa bongo anaweza akawa chawa maisha yakasonga anakula na kulala vizuri ila mvivu wa marekani atalala chini ya madaraja hatoweza kumudu kodi ya nyumba,chakula hatomudu,baridi itamchapa usalama wake utakuwa mdogo
Wapo sana tu !Hio dua lazma kwanza msomaji awe msafi kwelikweli, na iliwezekana sana enzi hizo kwa sasa labda waroge ila kukuta mtu msafi wa kukusomea albadili ikafanya kazi kwa sasa ngumu
Hiyo ni mambo ya ushabiki tu kama simba na yanga ila wanautaka muungano.Sasa mbona kutwa baadhi ya wapemba na waunguja kutwa wanaimba Wimbo kuwa huu muungano dhulumati na wizi mtupu Tanganyika inaibia Zanzibar na Pemba si waporomoshe alubadiri uvunjike
Wamesha Avioo wengi tu na wengine wamekuwa machiziNi nani umjuae aliyedhuriwa na kisomo hicho Cha kichawi?!
Kuna wenzio walisema kama hivyo na leo nguo zipo kichwani wanatembea uchi barabarani..Hazifanyi kazi hizo mambo😄😄😄
Subiri uusikie mziki wake !Wakiona haifanyi kazi waandike albachange au wasome albageuza. Albadili isipobadili kitu.
Du..ishakuwa teknolojia...Hata Kama ni ushirikina lakini una weza kukomesha Mambo Kama haya Basi huo sio ushirikina tena Bali ni technology
Tanga waneanza kuwa makini na wanaonesha hekma kubwa dhidi ya udhalimu wa CCM.Kutoka Tanga inaripotiwa kuwa wazee wa Tanga wamepanga kusoma dua ya kushitakia almaarufu kama albadil kwa walioshiriki kumuua mzee mwenzao Alli Mohamed Kibao.
Watakaosomewa duwa hiyo ni wale waliopanga njama za maauaji,walioshiriki kumteka,waliomuua,waliofahamu mpango mzima wa mauaji hayo,nk
Kwenye suala la duwa ukiondoa wazee wa Pemba basi wanafuata wazee wa Tanga
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana