Kwenye uonevu hata wakifabya ushirikina kuna shida gani?Hakuna cha albadiri wala albajoto mimi ni muislamu na nimechukizwa sana na hichi kitendo ila kusema ukweli izo dua za albadiri sijui albajoto hamna lolote zaidi ya watu kufanya ushirikina tu
Muislamu wa kweli anoijua vizuri dini yake hafanyi huo upuuzi