Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
🤣🤣🤣🤣🤣Hii mtafanya nyie CCM sisi albadir inatosha, huo Masauni tayari kanasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Hii mtafanya nyie CCM sisi albadir inatosha, huo Masauni tayari kanasa
Iwe vyovyote vile ilimradi tu waliotenda unyama hule wazurike, Kama ni ushirikina basi huo ushirikina ni mzuri.Hakuna cha albadiri wala albajoto mimi ni muislamu na nimechukizwa sana na hichi kitendo ila kusema ukweli izo dua za albadiri sijui albajoto hamna lolote zaidi ya watu kufanya ushirikina tu
Muislamu wa kweli anoijua vizuri dini yake hafanyi huo upuuzi
Wewe ungeweza?? Au unasema tu, unaanzaje kuamua ugonvi na mtu mwenye bunduki? Au wewe ni mhusika huko hapa kutukejeri tu, nina wasiwasi na wewe.Hiyo mbaya itawadhuru mpaka abiria wenzie walioshindwa kuwaziia watu wenye silaha kumshusha
Nawaunga mkonoWaseme tu wanaenda kuroga albadili ndo kitu gani?
USHIRIKINA MTUPU
Kwahiyo Tanga walikuwa wamesubiri mzee wa watu afe ndipo wafanye usafi.Yaani mapema mno tutaona makopo yanapungua mtaani.
Kisa cha Ditopile unaijua?Hazifanyi kazi hizo mambo😄😄😄
Detopile mpaka leo watoto wake wanagangaika tu huku na kule. Yaani watoto wanaficha ubiniKisa cha Ditopile unaijua?
Unajua madhara ya shirki kwa Muislamu?Iwe vyovyote vile ilimradi tu waliotenda unyama hule wazurike, Kama ni ushirikina basi huo ushirikina ni mzuri.
kiua nawe utauawa hata kwa maombi !Kuna diplomasia ya kuuwana,
Hizo Dua zenu ni upuzi TU, badilikeni
Uislamu unasema dua za mtu aliyedhulumiwa huwa haina pazia baina ya muombaji na Mwenyezi Mungu !Unajua madhara ya shirki kwa Muislamu?
Wote wanaokebehi na kufurahia tukio hili Baya wawe wananyea mdomoni😔Inatakiwa ile hadi mashabiki wa utekaji na mauwaji
Wapalestina na Waisraeli kila mmoja mikono yao ina Damu ya wenzao !Natamani sana hizo dua ziwakute hao mahayawani lakini sidhani kama zinafanya kazi ni upuuzi tu. Ingekuwa kweli basi Palestina wangekuwa washammaliza Israel au waarabu wote wanheshammaliza mmarekani kwa hizo albadir. Tusipotezeane muda tuwasake tu hao jamaa tumalizane nao.
Nasikia hawa wazee wa kwa Msisi asubuhi hii wanafanya jaribio la "kombora" la masafa marefu.Nasikia na wale wa kwa Msisi nao wako Maabara. Yetu macho na masikio.
Vijana wa kileo hawawezi kujua..Mfano hai kabisa
Mmoja tangu jana anazunguka tu kwenye kaburi la marehemu hapo TangaNdo ivo.
Ukisikia chochote,Jua albadir imeshawafikia
Hatari sn🤣🤣🤣🤣🤣