Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Ali Mohamed Kibao

Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Ali Mohamed Kibao

Natamani sana hizo dua ziwakute hao mahayawani lakini sidhani kama zinafanya kazi ni upuuzi tu. Ingekuwa kweli basi Palestina wangekuwa washammaliza Israel au waarabu wote wanheshammaliza mmarekani kwa hizo albadir. Tusipotezeane muda tuwasake tu hao jamaa tumalizane nao.
 
Hakuna cha albadiri wala albajoto mimi ni muislamu na nimechukizwa sana na hichi kitendo ila kusema ukweli izo dua za albadiri sijui albajoto hamna lolote zaidi ya watu kufanya ushirikina tu

Muislamu wa kweli anoijua vizuri dini yake hafanyi huo upuuzi
Iwe vyovyote vile ilimradi tu waliotenda unyama hule wazurike, Kama ni ushirikina basi huo ushirikina ni mzuri.
 
Hiyo mbaya itawadhuru mpaka abiria wenzie walioshindwa kuwaziia watu wenye silaha kumshusha
Wewe ungeweza?? Au unasema tu, unaanzaje kuamua ugonvi na mtu mwenye bunduki? Au wewe ni mhusika huko hapa kutukejeri tu, nina wasiwasi na wewe.
 
Natamani sana hizo dua ziwakute hao mahayawani lakini sidhani kama zinafanya kazi ni upuuzi tu. Ingekuwa kweli basi Palestina wangekuwa washammaliza Israel au waarabu wote wanheshammaliza mmarekani kwa hizo albadir. Tusipotezeane muda tuwasake tu hao jamaa tumalizane nao.
Wapalestina na Waisraeli kila mmoja mikono yao ina Damu ya wenzao !
Kila anayewahi anamuua mwenzake !
Pale Albadir inakaa pembeni !
😀
 
Back
Top Bottom