Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Ali Mohamed Kibao

Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Ali Mohamed Kibao

Albadir huwa haimwachi mtu salama.
Wajiandae waliotuma na waliotumwa.
Sio kweli, kwanza kama Albadili ingekuwepo basi asomae anafanya Dhambi kubwa lakini HAIPO

Ninakuambia tena hakuna Dua na kumsomea Mtu afe, soma Dini vizuri
 
Mi naona ingesomwa kurjuan kabisa mchezo umalizike kibingwa bila sterling kufia kwenye bustani
 
Soma wewe
Mkuu nakumbuka kipindi hicho niko mkoa kidato cha pili shule yetu ilikuwa ni Porini kweli eneo kama la heka 200 hivi ni pori limejaa miti na yale majani ya kuezekea nyumba za nyasi. Kuna siku kipindi kile kila likizo ya mwezi wa 6 ikifika kila Mwanafunzi anatakiwa kufyatua tofali 100. Sasa kuna siku tunafanya hizo mishe za kufyatuq tofali. Eneo lilikuwa kama kilomita 1.5 kutoka administration block imagine huo ukubwa wa eneo. Akaja jamaa ambaye alikuwa kama mlinzi wa shule anahema kuna kitu kakiona ndani ya eneo la shule. Tukabeba mawe, mipini ya majembe na mafyekeo kuanza kuangalia hicho kitu chapa Mwendo kweli kama dk 45 ndani ya eneo la shule tukawa tunanyata mpaka chini ya mwembe tukakuta Wazee watatu wanasoma albadiri na tayari mbuzi wawili wameshakauka kama majani ya mgomba. Usibishe Kaka
 
Lifanyike jambo ili watakaozuia kama mwaka ule wa Lissu wajulikane
 
Ndio maana ikaitwa ni shirki.
Kwasababu kuna kitu nje ya dini unakifanya japo unatumia maandiko yake.
Sasa kuhusisha maneno ya Dini, hayo maneno ya Dini hayana Effect yoyote zaidi ya Washirikina kuchafua Dini ya Hakhi

AL Badr ni SHIRKI
 
Mkuu nakumbuka kipindi hicho niko mkoa kidato cha pili shule yetu ilikuwa ni Porini kweli eneo kama la heka 200 hivi ni pori limejaa miti na yale majani ya kuezekea nyumba za nyasi. Kuna siku kipindi kile kila likizo ya mwezi wa 6 ikifika kila Mwanafunzi anatakiwa kufyatua tofali 100. Sasa kuna siku tunafanya hizo mishe za kufyatuq tofali. Eneo lilikuwa kama kilomita 1.5 kutoka administration block imagine huo ukubwa wa eneo. Akaja jamaa ambaye alikuwa kama mlinzi wa shule anahema kuna kitu kakiona ndani ya eneo la shule. Tukabeba mawe, mipini ya majembe na mafyekeo kuanza kuangalia hicho kitu chapa Mwendo kweli kama dk 45 ndani ya eneo la shule tukawa tunanyata mpaka chini ya mwembe tukakuta Wazee watatu wanasoma albadiri na tayari mbuzi wawili wameshakauka kama majani ya mgomba. Usibishe Kaka
Mkuu kesho kutwa hapa tu natimiza miaka 40 , hizi stories za chai kwenye dini hata mimi nilikua maarufu
 
Hii kitu hua ipo kweli na utendaji kazi wake ukoje?

Inafanya kazi endapo ukionewa ,kuna bodaboda walichoma gari ya mpemba moto aisee ni noma bodaboda waliiona ngondoigwa walipukutika wote kila siku walikuwa wanakula "BUYU" mmoja baada ya mmoja.

KUna jamaa yangu alikuwa na duka sehemu flani hivi akavamiwa majambazi yamamuibia fedha ,jamaa akaenda kuwapiga tego la ndizi aiseee walipukutika wote.
 
Nimemwambia ajaribu kuyakanyaga akutane na Wajuvi wa mambo aone. Au hata Yeye kama amedhulumiwa au kuonewa na mtu na ana uhakika nimuunganishe na Mwamba yupo humu humu aone shoo ya kibabe
Hahaha
 
Back
Top Bottom