min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mkuu naomba wajuzi wajitokezee hapa wanisomeeUlifanya kosa gani?
Maana albadir haendi kwa asiyekosa na pia kisomo hicho husomwa na wajuzi (mafundi) siyo hawa janja janja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naomba wajuzi wajitokezee hapa wanisomeeUlifanya kosa gani?
Maana albadir haendi kwa asiyekosa na pia kisomo hicho husomwa na wajuzi (mafundi) siyo hawa janja janja.
Hilo ni suala la diplomasia vinahusianaje??Waanze na Ban Isiraeel..
Maana pale Ufilistin panawaka moto, vipi Iran Haina Mashekh wakapiga Albadr Mpaka akina Netapaka wakafa?
Mbuzi
Sio kweli, kwanza kama Albadili ingekuwepo basi asomae anafanya Dhambi kubwa lakini HAIPOAlbadir huwa haimwachi mtu salama.
Wajiandae waliotuma na waliotumwa.
Jidanganye hivyohivyo! Yakanyage siku alafu ndo utaelewa 😊Hazifanyi kazi hizo mambo😄😄😄
Huna ujualoAlbadiri ni ushirikina
Ndio maana ikaitwa ni shirki.Sio kweli, kwanza kama Albadili ingekuwepo basi asomae anafanya Dhambi kubwa lakini HAIPO
Ninakuambia tena hakuna Dua na kumsomea Mtu afe, soma Dini vizuri
Iwe uchawi au iwe dini wewe soma kwangu mkuu.Ndio maana ikaitwa ni shirki.
Kwasababu kuna kitu nje ya dini unakifanya japo unatumia maandiko yake.
Ukafiri wake upo wapi?Sema acha waishitakie MIZIMU yao ya kiarabu. Mtume صلى الله عليه وسلم hajafundisha watu kuomba msaada kwa MIZIMU. Albadiri ni ukafiri kama ukafiri mwingine.
Mkuu nakumbuka kipindi hicho niko mkoa kidato cha pili shule yetu ilikuwa ni Porini kweli eneo kama la heka 200 hivi ni pori limejaa miti na yale majani ya kuezekea nyumba za nyasi. Kuna siku kipindi kile kila likizo ya mwezi wa 6 ikifika kila Mwanafunzi anatakiwa kufyatua tofali 100. Sasa kuna siku tunafanya hizo mishe za kufyatuq tofali. Eneo lilikuwa kama kilomita 1.5 kutoka administration block imagine huo ukubwa wa eneo. Akaja jamaa ambaye alikuwa kama mlinzi wa shule anahema kuna kitu kakiona ndani ya eneo la shule. Tukabeba mawe, mipini ya majembe na mafyekeo kuanza kuangalia hicho kitu chapa Mwendo kweli kama dk 45 ndani ya eneo la shule tukawa tunanyata mpaka chini ya mwembe tukakuta Wazee watatu wanasoma albadiri na tayari mbuzi wawili wameshakauka kama majani ya mgomba. Usibishe KakaSoma wewe
Hamna kituJidanganye,kuna baadhi ya vichaa humu mitaani ni matokeo ya albadir
Hakuna kitu kama hicho.Mkuu naomba wajuzi wajitokezee hapa wanisomee kuwa huwa nasema hakuna Mungu ili nife
Sasa kuhusisha maneno ya Dini, hayo maneno ya Dini hayana Effect yoyote zaidi ya Washirikina kuchafua Dini ya HakhiNdio maana ikaitwa ni shirki.
Kwasababu kuna kitu nje ya dini unakifanya japo unatumia maandiko yake.
Mkuu kesho kutwa hapa tu natimiza miaka 40 , hizi stories za chai kwenye dini hata mimi nilikua maarufuMkuu nakumbuka kipindi hicho niko mkoa kidato cha pili shule yetu ilikuwa ni Porini kweli eneo kama la heka 200 hivi ni pori limejaa miti na yale majani ya kuezekea nyumba za nyasi. Kuna siku kipindi kile kila likizo ya mwezi wa 6 ikifika kila Mwanafunzi anatakiwa kufyatua tofali 100. Sasa kuna siku tunafanya hizo mishe za kufyatuq tofali. Eneo lilikuwa kama kilomita 1.5 kutoka administration block imagine huo ukubwa wa eneo. Akaja jamaa ambaye alikuwa kama mlinzi wa shule anahema kuna kitu kakiona ndani ya eneo la shule. Tukabeba mawe, mipini ya majembe na mafyekeo kuanza kuangalia hicho kitu chapa Mwendo kweli kama dk 45 ndani ya eneo la shule tukawa tunanyata mpaka chini ya mwembe tukakuta Wazee watatu wanasoma albadiri na tayari mbuzi wawili wameshakauka kama majani ya mgomba. Usibishe Kaka
Hahahaha naona mnamjibia huyo Mungu😅😅Hakuna kitu kama hicho.
Hiyo ni dhuluma dhidi ya nafsi yako
Nimemwambia ajaribu kuyakanyaga akutane na Wajuvi wa mambo aone. Au hata Yeye kama amedhulumiwa au kuonewa na mtu na ana uhakika nimuunganishe na Mwamba yupo humu humu aone shoo ya kibabeHakuna kitu kama hicho.
Hiyo ni dhuluma dhidi ya nafsi yako
Hii kitu hua ipo kweli na utendaji kazi wake ukoje?
Wewe huwa ni Mstaarabu na Muelewa katika Dini hupaswi kuuliza swali kama hilo....kuna haya katika Quran inayohusu kumsomea Mtu Kifo?Ukafiri wake upo wapi?
HahahaNimemwambia ajaribu kuyakanyaga akutane na Wajuvi wa mambo aone. Au hata Yeye kama amedhulumiwa au kuonewa na mtu na ana uhakika nimuunganishe na Mwamba yupo humu humu aone shoo ya kibabe