mwakani naolewa
Senior Member
- Jul 25, 2024
- 148
- 426
Mimi nazungumzia kwa Mtazamo wa Salafy ambao ni uislamu sahihi kutokana na mafundisho ya Mtume na wema waliotangulia... Albadiri haifai ni ushirikina.Na kumuua binadamu kabla ya siku zake sio ushirikina?
Kwani wewe hupendi wasomewe?Dua ya kuku ?
Ni Bora kuwafanyia ushirikiana watu wasiojulikana,watekaji na wauaji.Albadiri ni ushirikina
Na kumuua mtu kwa bunduki kwa chuki binafsi inaswihi sheikh?Mimi nazungumzia kwa Mtazamo wa Salafy ambao ni uislamu sahihi kutokana na mafundisho ya Mtume na wema waliotangulia... Albadiri haifai ni ushirikina.
Dah wewe Jamaa Leo kwa mara ya kwanza ndio nimeona ukiwa na hasiraHazifanyi sababu haijakukuta wewe, kwa ambae amewahi ombewa dua hii huwa linakukuta jambo
Sawa mzee wanguπHata mimi nilivyokuwa mtoto nilikuwa na mawazo kama yako
Kanda ya Ziwa upo msemo maarufu usemao βKasekaseka Kalilalila βwell said
Bado hujajua ya ulimwengu na Malimwengu!Siamini ushirikina boss, na sijawahi kuona impact yake, simple as that.
Wengine inasadikika wameonekana kule Tongoni, njia ya kwenda Pangani, Tanga.N
a wengine nimewakuta pale Michungwani !
Lakini hiyo dua si ipo kwenye utaratibu wa dini yenu inakuaje sasa ushirikina?πHakuna cha albadiri wala albajoto mimi ni muislamu na nimechukizwa sana na hichi kitendo ila kusema ukweli izo dua za albadiri sijui albajoto hamna lolote zaidi ya watu kufanya ushirikina tu
Muislamu wa kweli anoijua vizuri dini yake hafanyi huo upuuzi
Ngoja kwanza imtafune mazaLakini isije ikageuza kibao ikala NDANI kwa ile methali ya kikulacho ki nguoni mwako !
Hapo sasa na imekuwa ikisomwa tangu miaka yoteLakini hiyo dua si ipo kwenye utaratibu wa dini yenu inakuaje sasa ushirikina?π
Naona unajifariji nduguπ π π πDua ya kuku ?
kizimkazi alikuwa anajua mpango mzima, Mrundi naye alikuwa anaufahamu mpango huoKutoka Tanga inaripotiwa kuwa wazee wa Tanga wamepanga kusoma dua ya kushitakia almaarufu kama albadil kwa walioshiriki kumuua mzee mwenzao Alli Mohamed Kibao.
Watakaosomewa duwa hiyo ni wale waliopanga njama za maauaji,walioshiriki kumteka,waliomuua,waliofahamu mpango mzima wa mauaji hayo,nk
Kwenye suala la duwa ukiondoa wazee wa Pemba basi wanafuata wazee wa Tanga
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana