Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Ali Mohamed Kibao

hii itaondoka na wengi sana watu wawe makini sana jamani. kwasababu aliyechonga njama aliyesababisha upatikanaji wa silaha aliyetenda aliyejua na akanyamaza, aliyeshiriki kwa mawazo, akili, matendo au namna yoyote ile itaondoka nae.
 
Lakini hiyo dua si ipo kwenye utaratibu wa dini yenu inakuaje sasa ushirikina?😁
 
kizimkazi alikuwa anajua mpango mzima, Mrundi naye alikuwa anaufahamu mpango huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…