Wazee wa Yanga hawataki mabadiliko klabuni

Wazee wa Yanga hawataki mabadiliko klabuni

Ili watucheleweshe s ndyo?

Mzee kilomoni alipoanza kuwasumbua mlimpinga hapa kuwa apuuzwe ila wazee wa yanga wasipuuzwe?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kilomoni mlimsifu kuwa ana akili na yupo sahihi.. Kwahivyo hata GHAZWAT hao Wazee nawaunga mkono kwenye harakati zao yaani. Kwahivyo tulieni.
 
Mkude- amefuta picha zote instagram alizopiga akiwa na jezi ya simba nakubakiza picha 1 ya aliyekua mlimbwende/mpenzi wake barbara gonzalez


Source:livescore and espn reported
Inahusiana nini na wazee wa yanga,, anzisha thread yako kuhusu mkude, hapa tunazungumzia wazee wa yanga na mchakato wa mabadiliko, acha ushabiki maandazi
 
Muda wa kutoa maoni bado upo, waende wakatoe maoni yao kutengeneza katiba mpya. Na sio kuleta malumbano kwenye MEDIA.
 
Mwisho wa siku katiba itapitishwa kwa idadi ya kura za wanachama na sio matamko ya wazee.
 
Mkude- amefuta picha zote instagram alizopiga akiwa na jezi ya simba nakubakiza picha 1 ya aliyekua mlimbwende/mpenzi wake barbara gonzalez


Source:livescore and espn reported
Hii nayo ishu ya kujadili? Mbona hata mm nimefuta picha nyingi tu huko ig nimebakiza mbili tu moja Niko peke angu nyingine nipo na mama ako .
 
Ili watucheleweshe s ndyo?

Mzee kilomoni alipoanza kuwasumbua mlimpinga hapa kuwa apuuzwe ila wazee wa yanga wasipuuzwe?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Unakumbuka Yanga ndiyo walikuwa wanamjaza upepo? Unakumbuka siku ya mkutano wenu alikuja akawachangia laki moja ? Waacheni wazee wa Utopolo wademke kwa raha zao, Wazee wa busara oyeeee
 
Mwisho wa siku katiba itapitishwa kwa idadi ya kura za wanachama na sio matamko ya wazee.
Hakuna kitu kama hicho wazee ndio waanzilishi wa club waeshimiwe,wamejenga majengo ya jagwani na mafia,na wamejenga brand ya yanga haiwezekani vijana wababaishaji ambao hamna mchango wowote eti muwape GSM timu!!!haiwezekani kabisa,tutamuweka mtu kwenye sanda wallah
 
Hii nayo ishu ya kujadili? Mbona hata mm nimefuta picha nyingi tu huko ig nimebakiza mbili tu moja Niko peke angu nyingine nipo na mama ako .
Wazazi jamani tuwaache huku kwenye utani wetu, tuparurane sisi tu wenyewe
 
Wazee wa busara wanawasha moto hatari, kuna kikao kipo underway hapo utopoloni wale wazee ambao juzi walisema hawatapeleka team uwanjani kucheza na simba hawataki kusikia lolote kuhusu mabadiliko ya uendeshaji wa team hiyo.

Binafsi nawaunga mkono sana, Yanga ni team ya wananchi inakuwaje iwekwe mikononi mwa GSM, safi sana wazee wenye busara tupo nyuma yenu kwanza nyie ndo mlipigania uhuru wa nchi hii nyerere kule Marekani umoja wa mataifa walikuwa wameshamnyima uhuru wa tanganyika alipotaja jina la team ya yanga afrika wazungu wote walitetemeka wakatoa uhuru wa nchi.

Inakuwaje GSM mkataba wa jezi anatoa 1300 ths wakati yeye anauza 35,000 tunataka mahesabu ya mauzo ya jezi, team ya wananchi ibaki mikononi mwetu wenyewe kama vipi tutaiendesha kwa michango mbona tushafanya kabla.

Wazeee wa busara oyeeeee
Mimi team Msimbazi... Ila kwa hili niko pamoja na wazee wa Utopolo. Team ya wananchi lazima iongozwe na wananchi, tena wazee waliopigania Uhuru.
 
Back
Top Bottom