GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Akikujibu naomba Unitagi Mkuu Oky?Manara ni wa kwanza kufungiwa? Mbona hujawahi kushauri hili katika hukumu za wengine ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikujibu naomba Unitagi Mkuu Oky?Manara ni wa kwanza kufungiwa? Mbona hujawahi kushauri hili katika hukumu za wengine ?
Do you know that you're very Foolish?Kama viongozi hawatendi haki ni heri tu kufungiwa kuliko watu waishi kwa kuwaabudu.
Hofu ya kufungiwa isiwafanye watu wakashindwa kuusimamia ukweli.
Ukweli si ndo huo ,Manara kakosea na amepewa adhabu kwa kosa lake?Kama viongozi hawatendi haki ni heri tu kufungiwa kuliko watu waishi kwa kuwaabudu.
Hofu ya kufungiwa isiwafanye watu wakashindwa kuusimamia ukweli.
Huyu kujibu ataweza kweli? [emoji23][emoji23] ngoja tusubiriAkikujibu naomba Unitagi Mkuu Oky?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kama wana akina Bi. Aziza na Bi. Joyce kwanini wasiwe Wanalialia Mkuu? Kwani Wewe ukiwa 'Unambaioloji' Shemeji ( Shemela ) yetu Bi. Fulani huwa halii?
Buffoon to be preciseDo you know that you're very Foolish?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeeehImagine msimu haujaanza lakini Yanga washanza kulia lia!!
Na bado hatujaanza kuwachezesha kibinda Nkoyi!!!
Yanga mtambue, kambini Simba kila mchezaji anajiuliza
"HIVI ILIKUWAJE TUKAPOTEZA VIKOMBE VYOTE???
Maoni yangu hayahusiani na issue ya Manara bali utoaji adhabu kwa ujumla wake.Ukweli si ndo huo ,Manara kakosea na amepewa adhabu kwa kosa lake?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umemalizaaaaaaahKafatilie ligi ya Kenya uone ni nini kinaendelea kwasasa baada ya serikali yao kuingilia maswala la kimpira, huko FIFA, CAF na ulimwengu soka mtu kama SSH au kiongozi yoyote wa taifa (hasa Tz ambayo ni takataka tu kiuchumi) wanaonekana vinyeo tu na hawawezi kukoromeana na FIFA hata siku moja.
Huu mpira sio wenu, mpira ni wa wazungu na FIFA yao kwahiyo wao hata kuufingia mchezo wote wa mpira hapa Tz wanaweza na hakuna RAIS au kima yoyote yule anaeweza kupingana nao.
Msiopenda kusikia msichokipenda ndiyo wapumbavu!Do you know that you're very Foolish?
Wazee wa utopolo ni emptyIwapo mama Samia au hata Waziri wa Michezo atatoa maamuzi juu ya kesi hiyo basi kitachotokea kitaitwa ”SERIKALI KUINGILIA MPIRA WA MIGUU”.
Kosa hilo likiwafikia wakuu wa soka FIFA, basi TFF inakula ban kama ligi ya Zimbabwe..
Coz ni marufuku Serikali kuingilia maamuzi ya chama au shirikisho la soka nchi yoyote ma adhabu yake huwa kubwa.
Ikumbukwe Wazee wa Yanga walishawahi kutaka kuonana na mama Samia ila nadhani hawakufanikiwa.
WAZEE WA YANGA MTAUPOZA MPIRA WA BONGO.
Nakubaliana MkuuLakini ukiangalia pamoja na upungufu wa TFF ila Manara alistahili adhabu muda sana ni mtu anayetumia ulemavu wake wa Ngozi kama ngao ya kufanya mabaya kwa kisingizio kwamba akiguswa atasema chuki.
We utopolo si kwa woga huu wa mechi za kimataifaNi sawa naona kama Taifa tunahitaji default kwenye mpira wetu labda tutakuwa na heshima
Natamani tule Ban hata ya miaka 10 kwanza ili tukirudi tuwe na heshima na huu mpira katika kuuongoza
Alafu nchi hii hawa wapayukajiLakini ukiangalia pamoja na upungufu wa TFF ila Manara alistahili adhabu muda sana ni mtu anayetumia ulemavu wake wa Ngozi kama ngao ya kufanya mabaya kwa kisingizio kwamba akiguswa atasema chuki.