Wazee wapenda taarifa ya habari ni wambea sana

Wazee wapenda taarifa ya habari ni wambea sana

mtu chake Hahahaa mtusamehe vijana wenu!

Kijana anasema kwasababu Media houses zinamilikiwa na wenye nacho basi hata habari mtaziona/sikia zile ambazo wenye nacho wanataka.

Kwa msingi huu, anauliza hamui-brainwashed na ajenda za wenye nacho?
 
Ni kuwa wazee wengi huwaambii kitu kuhusu taarifa ya habari. Kipindi chake pendwa kwenye TV ni taarifa ya habari. Ukweli ni kuwa mapenzi yote ya taarifa ya habari ni sababu ya umbea na majungu tu.

Anataka akifika kazini apate cha kusimulia wenzake. Waziri fulani hivi, mbunge fulani vile. Unakuta dingi ikifika muda wa taarifa ya habari anasimamisha kila kitu ili asikie majungu na kesho akawasimulie wenzake kazini

Ipo hivi. Wamama tunaowashutumu umbea na wapiga majungu huwa wanafanya hivyo kwenye level za mtaa. Yaani wanakuwa na habari za mtaani juu ya nani anatembea na nani, nani kamkopa nani, nani na nani haviivi, mtoto wa fulani hivi nk.

Madingi umbea wao ni level za kitaifa na kimataifa. Waziri fulani hivi, Saddam kamjibu Bush, mbunge kakiwasha nk nk. So madingi wapenda taarifa za habari ni wambea na watu wa majungu kama tu wamaza wambea wa kitaa.

Ukiona dingi anafuatilia taarifa za habari kwa karibu fahamu kuwa hamna kitu kingine zaidi ya kupenda umbea na majungu.
Unatabia za upinde kufuatilia tamthilia
 
Muelimishe tu mkuu

Kwasababu uhalisia wa umri unampotosha, anaona wazee wamejawa na umbea.
Hajui umbea ni nini,anadhani magazeti na majarida ya new York times, guardian, Newsweek,times nk yanasambaza umbea
 
Ni kuwa wazee wengi huwaambii kitu kuhusu taarifa ya habari. Kipindi chake pendwa kwenye TV ni taarifa ya habari. Ukweli ni kuwa mapenzi yote ya taarifa ya habari ni sababu ya umbea na majungu tu.

Anataka akifika kazini apate cha kusimulia wenzake. Waziri fulani hivi, mbunge fulani vile. Unakuta dingi ikifika muda wa taarifa ya habari anasimamisha kila kitu ili asikie majungu na kesho akawasimulie wenzake kazini

Ipo hivi. Wamama tunaowashutumu umbea na wapiga majungu huwa wanafanya hivyo kwenye level za mtaa. Yaani wanakuwa na habari za mtaani juu ya nani anatembea na nani, nani kamkopa nani, nani na nani haviivi, mtoto wa fulani hivi nk.

Madingi umbea wao ni level za kitaifa na kimataifa. Waziri fulani hivi, Saddam kamjibu Bush, mbunge kakiwasha nk nk. So madingi wapenda taarifa za habari ni wambea na watu wa majungu kama tu wamaza wambea wa kitaa.

Ukiona dingi anafuatilia taarifa za habari kwa karibu fahamu kuwa hamna kitu kingine zaidi ya kupenda umbea na majungu.
Mbea ni mtu ambaye ana toa tarifa ya kweli bila ridhaa ya mhusika ...... simply hata wew hapa unatupa umbea
 
Ni kuwa wazee wengi huwaambii kitu kuhusu taarifa ya habari. Kipindi chake pendwa kwenye TV ni taarifa ya habari. Ukweli ni kuwa mapenzi yote ya taarifa ya habari ni sababu ya umbea na majungu tu.

Anataka akifika kazini apate cha kusimulia wenzake. Waziri fulani hivi, mbunge fulani vile. Unakuta dingi ikifika muda wa taarifa ya habari anasimamisha kila kitu ili asikie majungu na kesho akawasimulie wenzake kazini

Ipo hivi. Wamama tunaowashutumu umbea na wapiga majungu huwa wanafanya hivyo kwenye level za mtaa. Yaani wanakuwa na habari za mtaani juu ya nani anatembea na nani, nani kamkopa nani, nani na nani haviivi, mtoto wa fulani hivi nk.

Madingi umbea wao ni level za kitaifa na kimataifa. Waziri fulani hivi, Saddam kamjibu Bush, mbunge kakiwasha nk nk. So madingi wapenda taarifa za habari ni wambea na watu wa majungu kama tu wamaza wambea wa kitaa.

Ukiona dingi anafuatilia taarifa za habari kwa karibu fahamu kuwa hamna kitu kingine zaidi ya kupenda umbea na majungu.
Naona umeamua kutuchana wazee wako
 
Ni kuwa wazee wengi huwaambii kitu kuhusu taarifa ya habari. Kipindi chake pendwa kwenye TV ni taarifa ya habari. Ukweli ni kuwa mapenzi yote ya taarifa ya habari ni sababu ya umbea na majungu tu.

Anataka akifika kazini apate cha kusimulia wenzake. Waziri fulani hivi, mbunge fulani vile. Unakuta dingi ikifika muda wa taarifa ya habari anasimamisha kila kitu ili asikie majungu na kesho akawasimulie wenzake kazini

Ipo hivi. Wamama tunaowashutumu umbea na wapiga majungu huwa wanafanya hivyo kwenye level za mtaa. Yaani wanakuwa na habari za mtaani juu ya nani anatembea na nani, nani kamkopa nani, nani na nani haviivi, mtoto wa fulani hivi nk.

Madingi umbea wao ni level za kitaifa na kimataifa. Waziri fulani hivi, Saddam kamjibu Bush, mbunge kakiwasha nk nk. So madingi wapenda taarifa za habari ni wambea na watu wa majungu kama tu wamaza wambea wa kitaa.

Ukiona dingi anafuatilia taarifa za habari kwa karibu fahamu kuwa hamna kitu kingine zaidi ya kupenda umbea na majungu.
We endelea kusikiliza nyimbo za dayamondi
 
Muelimishe tu mkuu

Kwasababu uhalisia wa umri unampotosha, anaona wazee wamejawa na umbea.
Wamejaa umbea kishenzi. Miaka yote wanaangalia taarifa ya habari na hamna jipya zaidi ya kupata majungu ya kuongea kazini na vijiweni. Na majungu yenyewe yamechakachuliwa.
 
Hajui umbea ni nini,anadhani magazeti na majarida ya new York times, guardian, Newsweek,times nk yanasambaza umbea
Majina makubwa yasikutishe hivyo vyote ni vyombo vya kubrainwasha watu na kuwajaza majungu na umbea ili waende kutemea wengine.
 
Tutake radhi bwana mdogo...

Pata tofauti ya maarifa na umbea kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena umbea wa kina mama mtaani wa kufahamu mambo yanayoendelea kitaa, nani mdokozi, nani halipi madeni nk una manufaa kuliko umbea wa madingi kutaka kujua habari za wabunge, mawaziri nk. Wanajikuta eti nao wanashiriki kuendesha nchi kumbe umbea na majungu tu.
 
Ni kuwa wazee wengi huwaambii kitu kuhusu taarifa ya habari. Kipindi chake pendwa kwenye TV ni taarifa ya habari. Ukweli ni kuwa mapenzi yote ya taarifa ya habari ni sababu ya umbea na majungu tu.

Anataka akifika kazini apate cha kusimulia wenzake. Waziri fulani hivi, mbunge fulani vile. Unakuta dingi ikifika muda wa taarifa ya habari anasimamisha kila kitu ili asikie majungu na kesho akawasimulie wenzake kazini

Ipo hivi. Wamama tunaowashutumu umbea na wapiga majungu huwa wanafanya hivyo kwenye level za mtaa. Yaani wanakuwa na habari za mtaani juu ya nani anatembea na nani, nani kamkopa nani, nani na nani haviivi, mtoto wa fulani hivi nk.

Madingi umbea wao ni level za kitaifa na kimataifa. Waziri fulani hivi, Saddam kamjibu Bush, mbunge kakiwasha nk nk. So madingi wapenda taarifa za habari ni wambea na watu wa majungu kama tu wamaza wambea wa kitaa.

Ukiona dingi anafuatilia taarifa za habari kwa karibu fahamu kuwa hamna kitu kingine zaidi ya kupenda umbea na majungu.
Duh! Wengine ndio content za habari zenyewe!!
Anyway na wewe umewaza kimbeya sana
 
Uelewa mdogo ndiyo maana utaona cha kitoto. Kufuatilia kwako taarifa ya habari kumedumaza uelewa wako.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] by the way Information is power.
Ukiwa na maarifa utapenda kupata habari, inaweza kuwa hata kusoma kitabu au magazeti. Hizo zote ni Source of information!!
 
Kwasababu ulichokiandika ni kitu Cha kitoto sana kama u mtu mzima pole sana.

Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo, huyu ni mtoto, na huwa watoto hatuwalaumu, tunawasikiliza tunatabasamu, sasa wewe unauloza umri ili nini?
 
Back
Top Bottom