Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha,Simple minds ndiyo wanakazana kufuatilia habari. Hizo ni tools za kukubrainwash tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha,Simple minds ndiyo wanakazana kufuatilia habari. Hizo ni tools za kukubrainwash tu.
Simple minds hafuatilii habari,muda wa habari wao huangalia tamthilia,muziki,udaku wa mange, simple minds hawana information zozote crucial zaidi ya mkude na Barbara na connection za amber rutySimple minds ndiyo wanakazana kufuatilia habari. Hizo ni tools za kukubrainwash tu.
Unatabia za upinde kufuatilia tamthiliaNi kuwa wazee wengi huwaambii kitu kuhusu taarifa ya habari. Kipindi chake pendwa kwenye TV ni taarifa ya habari. Ukweli ni kuwa mapenzi yote ya taarifa ya habari ni sababu ya umbea na majungu tu.
Anataka akifika kazini apate cha kusimulia wenzake. Waziri fulani hivi, mbunge fulani vile. Unakuta dingi ikifika muda wa taarifa ya habari anasimamisha kila kitu ili asikie majungu na kesho akawasimulie wenzake kazini
Ipo hivi. Wamama tunaowashutumu umbea na wapiga majungu huwa wanafanya hivyo kwenye level za mtaa. Yaani wanakuwa na habari za mtaani juu ya nani anatembea na nani, nani kamkopa nani, nani na nani haviivi, mtoto wa fulani hivi nk.
Madingi umbea wao ni level za kitaifa na kimataifa. Waziri fulani hivi, Saddam kamjibu Bush, mbunge kakiwasha nk nk. So madingi wapenda taarifa za habari ni wambea na watu wa majungu kama tu wamaza wambea wa kitaa.
Ukiona dingi anafuatilia taarifa za habari kwa karibu fahamu kuwa hamna kitu kingine zaidi ya kupenda umbea na majungu.
Muelimishe tu mkuuSimple minds hafuatilii habari,muda wa habari wao huangalia tamthilia,muziki,udaku wa mange, simple minds hawana information zozote crucial zaidi ya mkude na Barbara na connection za amber ruty
Hajui umbea ni nini,anadhani magazeti na majarida ya new York times, guardian, Newsweek,times nk yanasambaza umbeaMuelimishe tu mkuu
Kwasababu uhalisia wa umri unampotosha, anaona wazee wamejawa na umbea.
Mbea ni mtu ambaye ana toa tarifa ya kweli bila ridhaa ya mhusika ...... simply hata wew hapa unatupa umbeaNi kuwa wazee wengi huwaambii kitu kuhusu taarifa ya habari. Kipindi chake pendwa kwenye TV ni taarifa ya habari. Ukweli ni kuwa mapenzi yote ya taarifa ya habari ni sababu ya umbea na majungu tu.
Anataka akifika kazini apate cha kusimulia wenzake. Waziri fulani hivi, mbunge fulani vile. Unakuta dingi ikifika muda wa taarifa ya habari anasimamisha kila kitu ili asikie majungu na kesho akawasimulie wenzake kazini
Ipo hivi. Wamama tunaowashutumu umbea na wapiga majungu huwa wanafanya hivyo kwenye level za mtaa. Yaani wanakuwa na habari za mtaani juu ya nani anatembea na nani, nani kamkopa nani, nani na nani haviivi, mtoto wa fulani hivi nk.
Madingi umbea wao ni level za kitaifa na kimataifa. Waziri fulani hivi, Saddam kamjibu Bush, mbunge kakiwasha nk nk. So madingi wapenda taarifa za habari ni wambea na watu wa majungu kama tu wamaza wambea wa kitaa.
Ukiona dingi anafuatilia taarifa za habari kwa karibu fahamu kuwa hamna kitu kingine zaidi ya kupenda umbea na majungu.
Naona umeamua kutuchana wazee wakoNi kuwa wazee wengi huwaambii kitu kuhusu taarifa ya habari. Kipindi chake pendwa kwenye TV ni taarifa ya habari. Ukweli ni kuwa mapenzi yote ya taarifa ya habari ni sababu ya umbea na majungu tu.
Anataka akifika kazini apate cha kusimulia wenzake. Waziri fulani hivi, mbunge fulani vile. Unakuta dingi ikifika muda wa taarifa ya habari anasimamisha kila kitu ili asikie majungu na kesho akawasimulie wenzake kazini
Ipo hivi. Wamama tunaowashutumu umbea na wapiga majungu huwa wanafanya hivyo kwenye level za mtaa. Yaani wanakuwa na habari za mtaani juu ya nani anatembea na nani, nani kamkopa nani, nani na nani haviivi, mtoto wa fulani hivi nk.
Madingi umbea wao ni level za kitaifa na kimataifa. Waziri fulani hivi, Saddam kamjibu Bush, mbunge kakiwasha nk nk. So madingi wapenda taarifa za habari ni wambea na watu wa majungu kama tu wamaza wambea wa kitaa.
Ukiona dingi anafuatilia taarifa za habari kwa karibu fahamu kuwa hamna kitu kingine zaidi ya kupenda umbea na majungu.
Watoto je?TAARIFA YA HABARI.
Mie napenda pia,
Mama yangu anapenda sana,
Wadogo zangu wanaelewa sana,
TAARIFA YA HABARI.
We endelea kusikiliza nyimbo za dayamondiNi kuwa wazee wengi huwaambii kitu kuhusu taarifa ya habari. Kipindi chake pendwa kwenye TV ni taarifa ya habari. Ukweli ni kuwa mapenzi yote ya taarifa ya habari ni sababu ya umbea na majungu tu.
Anataka akifika kazini apate cha kusimulia wenzake. Waziri fulani hivi, mbunge fulani vile. Unakuta dingi ikifika muda wa taarifa ya habari anasimamisha kila kitu ili asikie majungu na kesho akawasimulie wenzake kazini
Ipo hivi. Wamama tunaowashutumu umbea na wapiga majungu huwa wanafanya hivyo kwenye level za mtaa. Yaani wanakuwa na habari za mtaani juu ya nani anatembea na nani, nani kamkopa nani, nani na nani haviivi, mtoto wa fulani hivi nk.
Madingi umbea wao ni level za kitaifa na kimataifa. Waziri fulani hivi, Saddam kamjibu Bush, mbunge kakiwasha nk nk. So madingi wapenda taarifa za habari ni wambea na watu wa majungu kama tu wamaza wambea wa kitaa.
Ukiona dingi anafuatilia taarifa za habari kwa karibu fahamu kuwa hamna kitu kingine zaidi ya kupenda umbea na majungu.
Mashoga bwana, kila muda unawaza mambo hayo?Unatabia za upinde kufuatilia tamthilia
Wamejaa umbea kishenzi. Miaka yote wanaangalia taarifa ya habari na hamna jipya zaidi ya kupata majungu ya kuongea kazini na vijiweni. Na majungu yenyewe yamechakachuliwa.Muelimishe tu mkuu
Kwasababu uhalisia wa umri unampotosha, anaona wazee wamejawa na umbea.
Majina makubwa yasikutishe hivyo vyote ni vyombo vya kubrainwasha watu na kuwajaza majungu na umbea ili waende kutemea wengine.Hajui umbea ni nini,anadhani magazeti na majarida ya new York times, guardian, Newsweek,times nk yanasambaza umbea
Tena umbea wa kina mama mtaani wa kufahamu mambo yanayoendelea kitaa, nani mdokozi, nani halipi madeni nk una manufaa kuliko umbea wa madingi kutaka kujua habari za wabunge, mawaziri nk. Wanajikuta eti nao wanashiriki kuendesha nchi kumbe umbea na majungu tu.Tutake radhi bwana mdogo...
Pata tofauti ya maarifa na umbea kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata shule imeku-brain wash siyo!?Majina makubwa yasikutishe hivyo vyote ni vyombo vya kubrainwasha watu na kuwajaza majungu na umbea ili waende kutemea wengine.
Duh! Wengine ndio content za habari zenyewe!!Ni kuwa wazee wengi huwaambii kitu kuhusu taarifa ya habari. Kipindi chake pendwa kwenye TV ni taarifa ya habari. Ukweli ni kuwa mapenzi yote ya taarifa ya habari ni sababu ya umbea na majungu tu.
Anataka akifika kazini apate cha kusimulia wenzake. Waziri fulani hivi, mbunge fulani vile. Unakuta dingi ikifika muda wa taarifa ya habari anasimamisha kila kitu ili asikie majungu na kesho akawasimulie wenzake kazini
Ipo hivi. Wamama tunaowashutumu umbea na wapiga majungu huwa wanafanya hivyo kwenye level za mtaa. Yaani wanakuwa na habari za mtaani juu ya nani anatembea na nani, nani kamkopa nani, nani na nani haviivi, mtoto wa fulani hivi nk.
Madingi umbea wao ni level za kitaifa na kimataifa. Waziri fulani hivi, Saddam kamjibu Bush, mbunge kakiwasha nk nk. So madingi wapenda taarifa za habari ni wambea na watu wa majungu kama tu wamaza wambea wa kitaa.
Ukiona dingi anafuatilia taarifa za habari kwa karibu fahamu kuwa hamna kitu kingine zaidi ya kupenda umbea na majungu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] by the way Information is power.Uelewa mdogo ndiyo maana utaona cha kitoto. Kufuatilia kwako taarifa ya habari kumedumaza uelewa wako.
Kwasababu ulichokiandika ni kitu Cha kitoto sana kama u mtu mzima pole sana.