Wazee, watoto na wagonjwa Mkoani Geita na mikoa jirani washauriwa kufuatilia kuagwa kwa Rais Magufuli kupitia Vyombo vya Habari

Wazee, watoto na wagonjwa Mkoani Geita na mikoa jirani washauriwa kufuatilia kuagwa kwa Rais Magufuli kupitia Vyombo vya Habari

Ukiwanunulia wanyonge ma TV makuubwa ya million moja @ ukayaweka maeneo ya wazi zaidi ya tatu, maana yake million tano inaokoa maisha ya watu arobain.Kwa CCM, million tano Ni kubwa kuliko uhai wa watu arobaini walofariki Dar. Lakini kwa wenye akili, million tano ni ndogo mno ukilinganisha na maisha ya mtu mmoja, achilia mbali wawili,watatu, ....Bravo, RC wa Geita. Hata Dar walikuwa na uwezo wa kuokoa maisha, sema tu utaahira wa kutaka wafikishe viewers billion tatu utafikiri YouTube itawalipa. Shenzi kabisa
Kwani wanyonge wana runinga?
 
Kifupi mtu haruhusiwi kumsema vibaya kilema wakati na yeye kilema .Anaburuza maguu yake kutafuta sehemu bora ya matibabu kuna tatizo gani marehemu kutafutiwa sehemu bora ya kuagwa?

Lisu apambane na ulemavu wake aache kusuta marehemu
Yehodaya jamani ccm wakupe hata viti maalumu jaman
 
Back
Top Bottom