Wazee wetu waliishi miaka mingi sana sababu walioa wake wengi

Naunga mkono hoja wazazi wanalea vibaya mabinti zao halafu shida tunapata sisi tunaoenda kuoa,unakuta binti haambiliki,hatambui majukumu yake kama mke, zaidi anakuja kwako kufanya malumbano kwa kivuli cha ndoa.
 
Tena kibinti cha mwaka 2000
 
Naunga mkono hoja wazazi wanalea vibaya mabinti zao halafu shida tunapata sisi tunaoenda kuoa,unakuta binti haambiliki,hatambui majukumu yake kama mke, zaidi anakuja kwako kufanya malumbano kwa kivuli cha ndoa.
Halafu huwa malaika kabla ya ndoa akishapata tu cheti cha ndoa na mtoto hakuna rangi utoona.
Kazi na ndoa huwa havizoeleki,ukizoea ndoa kifuatacho ni talaka, ukizoea Kazi kifuatacho ni kufukuzwa Kazi.
Ukifukuzwa Kazi, ukipewa talaka kwa upumbavu wako unaenda kuwa mteja wa mitume na manabii wa uongo baada ya kumnenepesha Sana mganga.
 
Sahii kabisa
Ukiwa na matala
Stress za ndoa hutoziskia
Watashindana wao kwa wao
 
Mi nafikiri suala ni kumuomba Mungu tu umpate aliye sahihi,kuoa wake wengi sio solution,unaweza ukawa na wanne wakakuvuruga kichwa kabisa,na ukawa na mmoja na akakutuliza
 
Mmh, kama ni sahihi mbona Gets kaachana na mkewe
 
Hivi ukishaishi miaka 100 then ufe inakusaidia nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…