Wazijua siri za Vatican?

Yote yaliyoandikwa kwenye viabu vya biblia siyo matukio ya kweli bali ni visasili yaani inafundisha kwa mifano ya matukio na picha. yesu hajawahi kuwepo duniani.
 
Umeyajuaje hayo mkuu?
 
Wewe umefika miaka 75, Kama hujafika umejuaje Maria Magdalena alikuwa mke wa Yesu.
 
Ni kweli na hufanyiwa hivyo Ikiwa kam Tambiko na Mchezo mwingne ambao hata Wao huwa hawajui ni kwamba kipindi wanafanyiwa hivyo huwa wanarekodiwa,

Ili siku ikitokea unataka kuvujisha siri za Mipango/siri za Vatican basi hatua ya kwanz ni kukuletea video zako ukifanyiwa hivyo na wanakutishia watazivujisha Na hiyo ni Hatua ya kwanz tu ukionesha msimamo ukaivuka hiyo Kinachofata ni KIFO.

Kiufupi wale viongozi wa juu wa Vatican wote ni Wachawi wa Kiwango cha juu na Pili ni Shirika kubwa la kijasusi ambalo linacontrol Dunia katika Nyanja za Elimu,Uchumi, Siasa na DINI.
 
Wewe umejuaje?
Kuna Fr.mmoja Dr. Alishakuwa mkuu wa chuo fulani alibahatika kutujuza haya....bahati mbaya akawa alcoholic addict akapatiwa matibabu Uganda kwa siri..hatimae wakamfungia Tosamaganga...mpaka umauti ulipompata...ndiye aliyetujuza haya.
 
Wanaolinda hawajui wanachokilinda huko ndani ila wewe umejua kinacholindwa ni vitabu zaidi ya 11? What a lie๐Ÿ˜‚
 
Brain washed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ