Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Rushwa ukiona hivyoKuna askari wa barabarani ni vichaa. Wakiwa hapo barabarani wanasahau kama wana familia zinawatevemea. Gari ina plate namba ya nini kuhatarisha maisha vile? Huyo askari sio anaipenda kazi yake bali haipendi familia yake au hana anayemtegemea.