pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Kwamba ni za uhakika?Niwatoe hofu Watanzania, wapo salama na hakuna shaka yoyote juu ya taarifa hizo.”
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba ni za uhakika?Niwatoe hofu Watanzania, wapo salama na hakuna shaka yoyote juu ya taarifa hizo.”
Umesema kweli hawa mapimbi ni wa hovyo Sana!Ukiwa mwanasiasa hasa wa upande wa kijani, hata kama una elimu ya juu ya shahada ya uzamivu lazima bado tu utakuwa mropokaji kutokana na hisia na mihemuko ya vijiweni
Sema viongozi wa ccmKauli za viongozi wetu kwa sasa nyingi zimekuwa za kuzua taharuki tu.
HahahaHii ndio Taarifa rasmi iliyotolewa na Naibu Waziri Abdalla Ulega bungeni Dodoma, kwamba uvumi wa samaki kuhifadhiwa kwa kutumia dawa za Maiti hauna ukweli na ni hadithi za kufikirika.
Sasa kama huu ndio Msimamo wa Serikali basi ATAFUTWE MTU ALIYEVUMISHA ILI ATUAMBIE ALIKOTOA UZUSHI HUO .
Hata mimi sinunui tena samaki wa kanda ya ziwa😅😅Makamu wa rais aliteleza sana kutoa kauli ile tayari ameshaua biashara ya samaki ,kwa hisia hizo hizo watu wamepata kinyaa cha kutumia hao samaki
Afya huku kwetu La patrona so jambo la msingi saaana...!! Sisi tunatakiwe tuzaliwe tuishiishi tuu kama mifugo mingine, tuchinjwe au kufa kwa hiyariUkweli ni kwamba matukio kama hayo yamekuwepo tena kwa muda mrefu sana.
Na hii ndio ilipelekea hata Biashara ya mabucha ya Samaki mikoani ikaporomoka miaka kadhaa iliyopita.
Tatizo kubwa hapa ni Nafasi ya mtoa kauli "VP".
Ambaye ameitoa mbele ya hadhara tena mbele ya wataalamu wa Afya.
Yeye kwa mamlaka yake anayo nafasi ya kutoa amri kwa mamlaka husika za uhifadhi wa madawa hayoili, kuchukuliwa hatua za uzembe wa kuruhusu madawa hayo kuingia mikono isiyostahili.
Pia angehakikisha vyombo vya dola vinalikomesha jambo hilo mara moja.
Tena hiyo ingekuwa amri ya kimyakimya kwa vyombo vya usalama kufanya utekelezaji wake.
Sasa badala yake ametoka hadharani tena mbele ya vyombo vya habari na pia baadhi ya wataalamu wa kutoka nje.
Na kutoa kauli ile. . ....jambo ambalo linaweza kusababisha Madhara makubwa kwenye sekta ya viwanda vya Samaki vinavyosafirusha samaki toka ziwa Victoria nje ya nchi.
Wazungu hawakawiagi kutoa tamko la kuzuia vitu au chakula chochote wanachokihofia kwa usalama wa afya zao.
Afande SeleHaya naviagiza vyombo husika vimshuhulikie mzushi aliyetoa kauli ile iliyoleta taharuki nchini hususani kanda ya ziwa na viunga vyake.
Tena unawekewa booster..mbegu zinatupwa leo kwenye udongo,baada ya siku nne mchicha umekomaa.Kwa Hapa dar,
Hakuna pa kuponea,labda mboga ulime kwako
Mchicha wa ubungo
unalimwa msewe kando kando ya mfereji unaotililisha maji taka toka mlimani campus na chuo Cha maji
Ule wa mabibo sokoni,
Mwingi unamwagiliwa na majitaka tiririka kutoka hostel za wanachuo
Ule wa temeke,
Unamwagiliwa na majitaka tiririka toka msd na kiwanda Cha madawa keko.
Ukienda tandale,tandika manzese,mbagala,g/mboto,mtoni mtongani, magomeni,m/chai,muhimbili huko Ndo balaaa na nusu.
Ila IPO nini Mkuu!!?? Kiuhalisia samaki anatokaje Mwanza hadi Mbeya yuko fresh!??Nipo kwenye hii field ya samaki almost miaka 10 sasa nilipo sikia hii kitu nilishangaa sana kifupi ni kwamba hakuna kitu kama hicho View attachment 2358651
Sato je?Kwa sasa sangara hawaliki
Ila IPO nini Mkuu!!?? Kiuhalisia samaki anatokaje Mwanza hadi Mbeya yuko fresh!??
Acha siasa ww!!Hujui kazi ya barafu au jokofu?.
wapuuz hao, heti maji yakuoshea maiti, sio aseme dawa za kuifadhia maiti, halafu ndio wasomi wetu hao,Kwani ni maji ya kuoshea maiti au dawa ya kuhifadhia maiti??
Maana hii ni story ya muda sana.
Kukosa adabuNW anamfokea VP kweli?
Kwahiyo ndio wanaifadhiwa kwa maji ya kuoshea maiti zilikufa kwa ajali, kansa ya ini na kansa ya Koo, na zilikufa kwa maladhi mbalimbali, ndio maji yake yanatumika kuifadhia samaki?Wewe sangara wabichi wanasafirishwa kwa basi Kutoka Mwanza hadi Dar ndani ya visalfeti halafu unambishia VP?