Waziri Abdallah Ulega: Madai ya Samaki kuhifadhiwa kwa maji ya maiti ni hisia tu

Hahaha
 
Makamu wa rais aliteleza sana kutoa kauli ile tayari ameshaua biashara ya samaki ,kwa hisia hizo hizo watu wamepata kinyaa cha kutumia hao samaki
Hata mimi sinunui tena samaki wa kanda ya ziwa😅😅
Lisemwalo lipo
 
Afya huku kwetu La patrona so jambo la msingi saaana...!! Sisi tunatakiwe tuzaliwe tuishiishi tuu kama mifugo mingine, tuchinjwe au kufa kwa hiyari
 
Tena unawekewa booster..mbegu zinatupwa leo kwenye udongo,baada ya siku nne mchicha umekomaa.
 
Kwani ni maji ya kuoshea maiti au dawa ya kuhifadhia maiti??

Maana hii ni story ya muda sana.
wapuuz hao, heti maji yakuoshea maiti, sio aseme dawa za kuifadhia maiti, halafu ndio wasomi wetu hao,

We maji ya kuoshea maiti ,maiti Wengine wamekufa kwa ajali,maladhi ya aina mbalimbali na yanakuwa na mchanganyiko wa kinyesi na damu na uchafu mwingine, leo ukaifadhie samaki kweli?

Mimi wamenitia kinyaa kwanza sili Tena hao samaki, na washaharibu soko la hao Samaki sababu ya kukurupuka kwao
 
Wewe sangara wabichi wanasafirishwa kwa basi Kutoka Mwanza hadi Dar ndani ya visalfeti halafu unambishia VP?
Kwahiyo ndio wanaifadhiwa kwa maji ya kuoshea maiti zilikufa kwa ajali, kansa ya ini na kansa ya Koo, na zilikufa kwa maladhi mbalimbali, ndio maji yake yanatumika kuifadhia samaki?

Kwann anasema Ni maji yalibayokia baada yakuosha maiti na sio aseme hile dawa fomalin
 
Itasikitisha sana, endapo hizo taarifa zitakua na ukweli...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…