Waziri Abdallah Ulega: Nilishindwa kupinga maamuzi ya Luhaga Mpina kupima samaki kwa rula kwenye migahawa

Waziri Abdallah Ulega: Nilishindwa kupinga maamuzi ya Luhaga Mpina kupima samaki kwa rula kwenye migahawa

Kama alikuwa anaogopa kumwambia ukweli bosi wake basi hafai kuwa kiongozi kabisa.kwa nchi zinazojielewa angeachishwa hiyo nafasi.Hii ameonesha hata kwa sasa atakuwa hana maamuzi ktk wizara yake kwa kumhofia rais.
Halafu eti yeye ni mtaalamu wa kiwanda cha uvuvi!!!
 
Hii jamii ya watanga huwa wanafiki sana,uswahili mwingi,kamfukuzisha kazi Mashimba Ndaki wakati yeye ni mweupe balaa
Alianza kumtilia vitina Mpina kipindi kile
Now amefukuzisha Ndaki hapo


Huyu ulega ni mweupe sanaa kichwani
Unampigia mtu simu kumuliza anakuja kuchangia nini? Or kuuliza nini kama wizara yako? Aisee watu
 
Mpina Luhaga kila kukicha anawabana Mawaziri wa Rais Samia.

Ana hoja za msingi anaonekana ni mtetezi wa wanyonge maana anawabana Serikali na viongozi wake kwa hoja zenye mantiki.

Mara kibao tunaona magizo ya PM Majaliwa hayafanyiwi kazi. Lakini Mawaziri wapowapo tu. Mfano uwajibikaji wa watumishi umma.

Halafu Abdallah Ulega unaongea Pumba eti samaki walipimwa kimakosa kwa amri za Luhaga Mpina. Kwani Fisheries regulation za Tanzania zinasemaje? Kwani Samaki akikaangwa ndio anapungua urefu. Acheni upuuzi jibuni hoja za Mpina .
 
Mpina Luhaga kila kukicha anawabana mawaziri wa rais Samia.

Ana hoja za msingi anaonekana ni mtetezi wa wanyonge maana anawabana serikali na viongozi wake kwa hoja zenye mantiki.

Mara kibao tunaona magizo ya PM majaliwa hayafanyiwi kazi. Lakini mawaziri wapowapo tu. Mfano uwajibikaji wa watumishi umma.

Alafu Abdallah Ulega unaongea Pumba eti samaki walipimwa kimakosa kwa amri za Luhaga mpina. Kwani Fisheries regulation za Tanzania zinasemaje? Kwani Samaki akikaangwa ndio anapungua urefu. Acheni upuuzi jibuni hoja za Mpina .
Kikwetu ulega ni ulevi hana jipya tangu lini mtu wa pwani akawa na akili

USSR
 
Mpina Luhaga kila kukicha anawabana mawaziri wa rais Samia.

Ana hoja za msingi anaonekana ni mtetezi wa wanyonge maana anawabana serikali na viongozi wake kwa hoja zenye mantiki.

Mara kibao tunaona magizo ya PM majaliwa hayafanyiwi kazi. Lakini mawaziri wapowapo tu. Mfano uwajibikaji wa watumishi umma.

Alafu Abdallah Ulega unaongea Pumba eti samaki walipimwa kimakosa kwa amri za Luhaga mpina. Kwani Fisheries regulation za Tanzania zinasemaje? Kwani Samaki akikaangwa ndio anapungua urefu. Acheni upuuzi jibuni hoja za Mpina .
Nyuzi nyingine ya kipumbavu ya Sukuma Gang ikitaka kumtetea Luhaga Mpina mmoja kati ya mawaziri wa DIKTETA Magufuli ambaye ni KICHAA.

Mtahangaika sana, kipindi chenu mlimuona Magufuli kama mungu wenu. Shenfield kabisa
 
M
Mpina Luhaga kila kukicha anawabana mawaziri wa rais Samia.

Ana hoja za msingi anaonekana ni mtetezi wa wanyonge maana anawabana serikali na viongozi wake kwa hoja zenye mantiki.

Mara kibao tunaona magizo ya PM majaliwa hayafanyiwi kazi. Lakini mawaziri wapowapo tu. Mfano uwajibikaji wa watumishi umma.

Alafu Abdallah Ulega unaongea Pumba eti samaki walipimwa kimakosa kwa amri za Luhaga mpina. Kwani Fisheries regulation za Tanzania zinasemaje? Kwani Samaki akikaangwa ndio anapungua urefu. Acheni upuuzi jibuni hoja za Mpina .
Mpina apewe uwazir haraka sana . Aapishwe muda huu ili atulie
 
Nyuzi nyingine ya kipumbavu ya Sukuma Gang ikitaka kumtetea Luhaga Mpina mmoja kati ya mawaziri wa DIKTETA Magufuli ambaye ni KICHAA.

Mtahangaika sana, kipindi chenu mlimuona Magufuli kama mungu wenu. Shenfield kabisa
Kwa mchango wako huu, Najifunza kwamba, hauko sawa kichwani!

Rasimi nimekupuuza
 
Kwa mchango wako huu, Najifunza kwamba, hauko sawa kichwani!

Rasimi nimekupuuza
Wewe ni msukule wa Magufuli, akitajwa tu lazima utokeze kutetea. Poleni sana yatima wa Mwendazake
 
Back
Top Bottom